Elections 2015 Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!


Maana ukawa ..... Wameitege vibaya mnoo ccm wanajua ni wapi wataimalizaa
kumbe jibu unalo
Lowassa akiachiwa tu na CCM basi UKAWA watachukua Urais

ili kuondoa Makundi kashfa na Ufisadi ni kulikata tu jina lake
(waturudishie tu Chama Chetu CCM si chama cha mafisadi, watu waliingia wakiwa maskini leo wanataka kukiendesha km chao - By Makongoro JK)
 
lowasa n kila kitu anatisha sana mm mwenyewe wakimkata kura yangu ukawa

Naheshimu mawazo yako SHEMGUNGA, Ila napata shida kuelewa unaposimamia mtu baada ya mfumo.

Huyu bwana anaweza kukatwa na maisha yataendelea. Unawajua wa Tanzania ndugu!!!! Sekunde kumi (10 Sec) wameshasahau kila kitu, wanaangalia maslahi ya muda mfupi kwa mwengine.

Halafu huyu jamaa, watangazo ya biashara ndio yanambeba kuliko history ya utendaji wake. Lakini nafikiri mwaka huu "atayetoa noti za bandia atapewa tu cheni ya bandia". Ningefurahi iwapo zingekuwa zinajengwa hoja kwanini yeye, kuliko lazima awe yeye (Ni mtazamo wangu tu).
 
Last edited by a moderator:
Uchaguzi wa mwaka huu, fisadi kuingia ikulu itakuwa ni sawasawa na ngamia kuingia kwenye tundu la sindano. Na ni kheri wale wote waliohusishwa na ufisadi wa aina yeyote ile, wangeendelea kula hela zao waachane na kimeo ccm
 


CCM wangekuwa wajanja wangepiga sana pesa.
Watoe tenda ya kuchezesha Kamari ya nani atakuwa Mgombea ya CCM 2015 Uraisi. Maana hii idadi inaruhusu kabisa na ukiangalia karibia zaidi ya Waombaji 15 uwezo uko sawa.

Kama kweli watafanikiwa kumchinjia baharini Lowassa mchezo unaweza kuwa kama hapa chini.
Ebu twende taratibu wagombea mpaka sasa 35.



1.Mgombea mmoja mwanamke-Dr A. Migiro
2. Mgombea mmoja Muislamu-Balozi Amina Salumu Ali.
3. Mgombea mmoja kutoka Zanzibar-Dr. Bilal
4. Mmoja wa Mawaziri Wakuu ambaye ameandaliwa kama kingio la huyo aliyeshachaguliwa!-Mhe.Pinda
5. Mgombea aliyeshachaguliwa kuipeperusha bendera ya CCM.?????????????

1.Prof Mark Mwandosya 2.Charles Makongoro Nyerere 3. Judge Augustine Ramadhani.

 
duu huyu mtu anaoneka ni hatar sana sasa wasipo mpitisha kweli sijui matokeo yake yatakuaje ndani vya chama sababu kesha kigawa chama

Nakuhakikishia wakikata jina lake hakutakuwa na chochote kitu wanamuogopa bila sababu kwanza hatawafanya kitu kwa sababu stress na stroke atakayopata kwa kukatwa jina vitamuweka busy sana.
 

  • Pasco vipi mkuu................? Nakushangaa...............!!



 
Pasco ungepumzika for now
sioni kama una make sense anymore
kila ulichotuambia huko nyuma kimeenda the opposite
labda sasa ungenyamaza kwanza.......ni kama vile nyinyi wapambe wa mgombea
mna kiu na urais kuliko mgombea mwenyewe
soma hii thread nilisema nini na kimetokea nini!
 
soma hii thread nilisema nini na kimetokea nini!
........................................................
 

Thamani yako imeporomoka kama ya Lowassa. Ndo tatizo la kuwa bendera kufuata upepo. Vijana mnaoonekana kuwa na uelewa mkubwa mnajidhalilisha kwa kutumika kama toilet paper. Sasa mnavuna mlichopanda...
 
Thamani yako imeporomoka kama ya Lowassa. Ndo tatizo la kuwa bendera kufuata upepo. Vijana mnaoonekana kuwa na uelewa mkubwa mnajidhalilisha kwa kutumika kama toilet paper. Sasa mnavuna mlichopanda...

mkuu angalia uzi ni wa tarehe ngapi. Pasco umewashinda gwajima na tb joshua
 
........................................................

heshima sana pasco kwa uzi huu una asilimia 70 za utabiri ni correct. Umewashnda ccm kwa hilo but what is your plan b?.
 
heshima sana pasco kwa uzi huu una asilimia 70 za utabiri ni correct. Umewashnda ccm kwa hilo but what is your plan b?.
Baada tuu ya jina la Lowassa kukatwa kwenye 5 bora, nilipandisha uzi huu, Kukatwa Kwa Lowassa, Jee Ndio Mwisho wa Ile Safari, Au..., nikishauri ahame CCM safari iendelee, huku nikitaraji atakayepita ni Membe!.

Lakini baada ya kupitishwa Magufuli, nilifanya about turn na kumshauri sasa atulie tuu, kwa sababu Magufuli ni jembe zaidi ya Lowassa!. Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali yaishe, vunja kambi na kujisalimisha!.

Pasco
 

..............................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…