Licha ya kupigia upatu ushoga, mmiliki wa Facebook ana mke na mtoto

Inauma na kuumiza unapoona baba yake anafadhili na kuhamasisha hivyo vitendo utadhani wazazi wa hao vijana wanapenda watoto wao wawe mashoga
Mshana jr hapo umetumia kanuni gani? baba anapigia upatu ushoga lakini hapractice. Mtoto ndiye atapractice? Sio lazima.

BTW ulishasoma kitabu cha THIRTY YEARS AMONG DEAD BY DR. CarlA.Wikland ? Kama bado kitafute.
 
Mshana jr hapo umetumia kanuni gani? baba anapigia upatu ushoga lakini hapractice. Mtoto ndiye atapractice? Sio lazima.

BTW ulishasoma kitabu cha THIRTY YEARS AMONG DEAD BY DR. CarlA.Wikland ? Kama bado kitafute.
Inawezekana nisieleweke hapa lakini nilichoandika nilimaanisha kwenye KARMA
 
sidhani kama hapo anafundishwa quantum physic,mtoto kwanza ndio ana miezi 4..,ni maxima sio max
 
Usiseme hivyo kabebi kangu miaka 4 ndo kapo huko ila ni level stage



Dada Quantum Physics ni kitu kizito sana nawaza akifika miaka 4 huko mwanao ambae uncle wangu anatakuwa anajifunza a e i o u tena kwa viboko dogo anatakuwa anakimbilia kupigishwa Nuclear Physics
 
ana mfundsha phzcs for children....
unajua tena ,,,nch zilizoendelea wenze2 kule..........
anamjengea mtoto uwezo wa ku reazon tangu akiwa mdgo.....

kuna special books kwa ajilh ya watoto......

sis huku 2nafanyaga hadith hadith uongo njo.....utamu koleo.....


kule wenze2 wanasomewa vtabu vya phzcs for children......


katoto kake n ka kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…