Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa
Nimekuwa nikisikia kwa mda mrefu sana hasa huu mwez jina la sister fey lakin sikujua huyu sister ni nan hapa mjin. Sasa leo ndo nikamua niingie chimbo kumsakua huko inster aisee mambo niliyoyakuta ndo yale ambayo huwa nayapendaga sasa


Kwa kweli dogo anafaid sana aisee ule mjimama musisita fei anavyo ulamba lamba dah yaan ni soo

Najalibu kuwaza kama ndo ningekuwa mimi beira boy aisee yaan huyo sister fey ningekuwa namkanda kanda ile mbaya.

Ila tuache tu utan sister fey anajua kulea ile mbaya yaan kama mbitiyaza kabisa arifuu

Nataman lile zali linidondokee mazee

Yule dogo anafaid mazee licha ya kuwa kiben ten

Mimi ukiben ten nautaka aisee maana siyo kwa kupet petiwa kule


Boy from London
 
Huyo dogo nashangaa ni mchaga gani hafuatiliwi na wazazi wake, jina lake la mwisho anaitwa Njau, ni mchaga tena wa marangu huyo
Dah mkuu kwani ukiwa mchga ndo hupaswi kuwa kiben ten
 
Mwanaume kupambana Beira na sio kulelewa.

Sina hakika na huko kufaidi kama unavyosema au kuona akifanyiwa hadharani sababu waeza kuta nyuma ya pazia anayofanyishwa ni bora angejitafutia saizi yake.
 
Ahhahahahaaaaa ngoja humble aje ila simtag
 
Mkuu hamna hata kapicha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…