Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

Mwanaume kupambana Beira na sio kulelewa.

Sina hakika na huko kufaidi kama unavyosema au kuona akifanyiwa hadharani sababu waeza kuta nyuma ya pazia anayofanyishwa ni bora angejitafutia saizi yake.
kwa hiyo unataka kusema kanakunjwa kunjwa , kanachezwa kama mpira na sister fey ila itakuwa kweliii
😂😂
 
We dogo acha kujidhalilisha na kudhalilisha field ya Engineering.
We umesoma Engineering kabisa (japo ni ya SJUIT) halafu unakalia kuandika nyuzi za udaku ku-discuss maisha ya watu.
Engineers majukwaa yetu ni mawili tu humu.
1. Tech, Science and Gadgets
2. Education forum
3. Matangazo Madogo Madogo


Mambo ya udaku waaachie walosooma HKL kama kina FRESHMAN, Humble African na General Mangi
Khaah......

Sawa tanzania one [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kupambana tunapambana hajar lakin zar kama hilo likinidondekea siliach mtu wangu
mkuuu ulikuwa wapi mfugaji nahuja alikuwa anatafuta wa kumfuga kiben11 sijui keshapata embu mchekiii mkuu au mtag kabisaaa
nahuja si maneno yangu nimejikuta tuu naandika 😂
 
kwa hiyo unataka kusema kanakunjwa kunjwa , kanachezwa kama mpira na sister fey ila itakuwa kweliii
😂😂
Mfano hai ulikuwepo kwa Shilole na Viben 10 vyake kila siku alikuwa anavipiga vibao tena hadharani kabisa.

Ni wachache wanaomiliki vitoto na wakaacha kuvinyanyasa Mkuu.
 
Dogo hafaidi dogo clip zote nlizo ziona dogo anatumika sana kwa sister fey anapata tabu sana dogo
 
Mfano hai ulikuwepo kwa Shilole na Viben 10 vyake kila siku alikuwa anavipiga vibao tena hadharani kabisa.

Ni wachache wanaomiliki vitoto na wakaacha kuvinyanyasa Mkuu.
nimekuelewa ndugu inabidi kuwe na haki za viben10
 
Back
Top Bottom