Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

Licha ya kuwa kiben 10 ila dogo anafaid sana aisee

For a man, its a shame to aspire to be a kept one.
 
We dogo acha kujidhalilisha na kudhalilisha field ya Engineering.
We umesoma Engineering kabisa (japo ni ya SJUIT) halafu unakalia kuandika nyuzi za udaku ku-discuss maisha ya watu.
Engineers majukwaa yetu ni mawili tu humu.
1. Tech, Science and Gadgets
2. Education forum
3. Matangazo Madogo Madogo


Mambo ya udaku waaachie walosooma HKL kama kina FRESHMAN, Humble African na General Mangi
Sasa mhandisi na wewe unafanya nini huku?

Dah kumbe na mimi nimecomment... ngoja nirudi zangu workshop.
 
We dogo acha kujidhalilisha na kudhalilisha field ya Engineering.
We umesoma Engineering kabisa (japo ni ya SJUIT) halafu unakalia kuandika nyuzi za udaku ku-discuss maisha ya watu.
Engineers majukwaa yetu ni mawili tu humu.
1. Tech, Science and Gadgets
2. Education forum
3. Matangazo Madogo Madogo


Mambo ya udaku waaachie walosooma HKL kama kina FRESHMAN, Humble African na General Mangi
darasa la mwaka gani ili mkuu... ina wezekana namfahamu huyu kiumbe... mzinguaji humu
 
Mie nilitaka kumjibu lakini nikakosa cha kuandika nikaamua kuacha tu... Anaona yeye no so special sasa sijui kwanini alikuja kuchangia huo uzi anaouponda. Watanzania bana tena tuliozaliwa vijijini tukapata a elimu tunatabi sana.
Mimi naona ni ulimbukeni na elimu ya ujanjajanja kwenye vyumba vya mitihani, maana sifa kubwa ya ELIMU ni kuheshimu mawazo ya wengine pia.
 
Back
Top Bottom