carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
Tangu nijiunge rasmi JamiiForums kiukweli sijawahi jutia, lakini bado watu wengi hawaijui. Yaani unaweza pita mtaani kati ya watu kumi utaowauliza ni mmoja tu ndo anayeijua, mwingine anakwambia "ndo nini hiyo".
Mpaka sasa, hata posts tu hazifikii idadi ya watanzania maana posts zipo 43 million, threads 1 million, na member laki sita. Kama mtu anavoshinda instagram siku nzima na mimi ni hivyo hivyo JamiiForums.
Je, tatizo ni nini maana JamiiForums sio popular kabisa among people.
Mpaka sasa, hata posts tu hazifikii idadi ya watanzania maana posts zipo 43 million, threads 1 million, na member laki sita. Kama mtu anavoshinda instagram siku nzima na mimi ni hivyo hivyo JamiiForums.
Je, tatizo ni nini maana JamiiForums sio popular kabisa among people.