Licha ya kuwepo kwa madini ya kutosha, bado mwamko wa Watanzania kuijua JamiiForums ni mdogo

Licha ya kuwepo kwa madini ya kutosha, bado mwamko wa Watanzania kuijua JamiiForums ni mdogo

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Tangu nijiunge rasmi JamiiForums kiukweli sijawahi jutia, lakini bado watu wengi hawaijui. Yaani unaweza pita mtaani kati ya watu kumi utaowauliza ni mmoja tu ndo anayeijua, mwingine anakwambia "ndo nini hiyo".

Mpaka sasa, hata posts tu hazifikii idadi ya watanzania maana posts zipo 43 million, threads 1 million, na member laki sita. Kama mtu anavoshinda instagram siku nzima na mimi ni hivyo hivyo JamiiForums.

Je, tatizo ni nini maana JamiiForums sio popular kabisa among people.
 
Tangu nijiunge rasmi JamiiForums kiukweli sijawahi jutia, lakini bado watu wengi hawaijui. Yaani unaweza pita mtaani kati ya watu kumi utaowauliza ni mmoja tu ndo anayeijua, mwingine anakwambia "ndo nini hiyo...
Inabidi kuwa hivyo chimbo letu likiwa na wachache tunaofaidika ndo sisi unakaa kijiweni unatema Nondo au chuo watu sahivi mtaani wananiogopa eti Mimi Nina Akili Sana kumbe ni Nondo za umu ahsante JF
 
JF bado ina madini ila ilikuwa na madini zaidi kipindi 2008 kuelekea mpaka 2017. Kila jukwaa lilikuwa na amsha amsha. Huko teknolojia kulikuwa na akina @njuva mavoko Tigo waliipatapata na internet yao. Wakiziba hapa panazibuka pale.
Documents za siri za serikali full kuvujishwa humu na watu kuzijadili. Ilikuwa ya moto kweli kipindi hicho na ikanishawishi kujiunga mwaka 2010 kwenye uchaguzi wa awamu ya pili ya JK kwa mada zilizokuwepo.
 
JF bado ina madini ila ilikuwa na madini zaidi kipindi 2008 kuelekea mpaka 2017. Kila jukwaa lilikuwa na amsha amsha. Huko teknolojia kulikuwa na akina @njuva mavoko Tigo waliipatapata na internet yao. Wakiziba hapa panazibuka pale.
Documents za siri za serikali full kuvujishwa humu na watu kuzijadili. Ilikuwa ya moto kweli kipindi hicho na ikanishawishi kujiunga mwaka 2010 kwenye uchaguzi wa awamu ya pili ya JK kwa mada zilizokuwepo.
So madini yapo ila yamepungua??
 
Hahahaha kwani wewe huna akili mkuu? Au huna akili sana???
Akili ninazo Safi sema hapa zinajibusti maana unakutana na Great thinkers na wasomi ,wafanyabiashara wakubwa mawaziri Rais wa nchi n.k so hapa Safi Sana mtaani ni ngumu Kupata wasaa wa kupiga story na waziri lkini JF kawaida
 
Inabidi kuwa hivyo chimbo letu likiwa na wachache tunaofaidika ndo sisi unakaa kijiweni unatema Nondo au chuo watu sahivi mtaani wananiogopa eti Mimi Nina Akili Sana kumbe ni Nondo za umu ahsante JF
Huko mtaani ulipo wote mtakua ni mazuzu
 
Mimi huwa wananiambia ni usalama wa Taifa maana nina taarifa kibao za mikoa yote pamoja na siri zote za vyama vya upinzani na sisiem

mpka kifo cha mkuu wa sukuma gang hizo tetesi ninazo


yani nikikaa na watu hakuna mada wataanzisha nisichangie kwa urefu na ufafanuzi mzito mpka wanabaki wanaduwaa

JF ilikuwa tamu zamani sasa hvi inaboa kiasi kwasababu ya wapumbavu wanaoharibu

mfano
mtu anaanzisha uzi eti sijui anampenda member fulani au eti kaaota kakutana na member flani

UJINGA MTUPU
 
Mimi huwa wananiambia ni usalama wa Taifa maana nina taarifa kibao za mikoa yote pamoja na siri zote za vyama vya upinzani na sisiem....
Hao wanaokuambia na wewe wote mtakua mazuzu. Hakuna mwerevu anayeweza kumuita mwingine usalama wa taifa.

Kwa kuwa kuwa usalama wa taifa sio sifa wala sio issue sana kwenye kundi la werevu.
 
Hao wanaokuambia na wewe wote mtakua mazuzu. Hakuna mwerevu anayeweza kumuita mwingine usalama wa taifa.

Kwa kuwa kuwa usalama wa taifa sio sifa wala sio issue sana kwenye kundi la werevu.

PUMBAVU.

Wewe ni nani uje udandie comment yako huku unaacha matter call wazi hivi?

Aya haraka yarudishe ndani kabla sijakasirika
 
Zamani ipite siku unaingia jamiiforums unaona kama umeoungukiwa kitu.

Mnakumbuka vile mada nzito nzito zilivyokuwa znachakatwa hapa? Unakumbuka skendo kama ya shingo, EPA, Majengo Pacha ya BOT, acha kabisa
 
Tangu nijiunge rasmi JamiiForums kiukweli sijawahi jutia, lakini bado watu wengi hawaijui. Yaani unaweza pita mtaani kati ya watu kumi utaowauliza ni mmoja tu ndo anayeijua, mwingine anakwambia "ndo nini hiyo".

Mpaka sasa, hata posts tu hazifikii idadi ya watanzania maana posts zipo 43 million, threads 1 million, na member laki sita. Kama mtu anavoshinda instagram siku nzima na mimi ni hivyo hivyo JamiiForums.

Je, tatizo ni nini maana JamiiForums sio popular kabisa among people.
hata MATAJIRI wapo wachache duniani.

Kwahiyo hata sisi humu tukiwa wachache ni poa sana unafahamiana na mswahili mwizio anakupa darasa la kutosha.

INSTAGRAM fake life na maudaku ya kutosha. ELIMU SIHABA mana kuna maclip ya HUSTLERS,MOTIVATION NA JOKES PIA.

FACEBOOK miandiko ya kitoto vijembe vya kitoto yani ilimladi tu mtu ajulikane yupo Facebook ELIMU NI CHACHE FACEBOOK

TWITTER
Kule majibu ya shombo na maswali ya kiwaki ila darasa lipo kwenye SPACE zao tu mtu akiwa na mada zuri.

MTAANI KWETU SASA.
humu kuna madini ya aina yote sijui dini sijui shetani sijui kula tunda kimasihara yani daah salute sana MKULUGENZI WETU
JAMII FORUM for life
 
Back
Top Bottom