JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Baada ya bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli kushuka, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imesema hawana mpango wa kushusha nauli kwa sababu uendeshwaji wa vyombo vya usafiri hautegemei gharama za mafuta pekee.
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema gharama za mafuta zinategemewa kwa asilimia 38 tu, na asilimia 62 ni gharama nyingine.
Chanzo: Tanzania Daima
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema gharama za mafuta zinategemewa kwa asilimia 38 tu, na asilimia 62 ni gharama nyingine.
Chanzo: Tanzania Daima