Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kumekuwa na misuguano ya mara kwa mara kwa clabu ya Yanga dhidi ya wachezaji wake tena wakubwa tu.
Morrison
Feisal
Mayele
Bangala
Shaban djuma
Kwa mantiki hii inaonyesha kuna ukandamizaji mkubwa sana wa kimkataba kwenye hivi vilabu vyetu.
Kama hawa wachezaji wakubwa tu wanalalama vipi kina Mzize wasiokuwa na sauti?
Kwa maana ukiongea ukweli wewe tayari ni adui, ni nani atakusikiliza?
Hawa viongozi wetu ni wema sana mbele ya camera ila nyuma ya camera ni watu hatari sana. Ogopa
Morrison
Feisal
Mayele
Bangala
Shaban djuma
Kwa mantiki hii inaonyesha kuna ukandamizaji mkubwa sana wa kimkataba kwenye hivi vilabu vyetu.
Kama hawa wachezaji wakubwa tu wanalalama vipi kina Mzize wasiokuwa na sauti?
Kwa maana ukiongea ukweli wewe tayari ni adui, ni nani atakusikiliza?
Hawa viongozi wetu ni wema sana mbele ya camera ila nyuma ya camera ni watu hatari sana. Ogopa