MaduhuJ
Member
- Oct 7, 2024
- 64
- 83
Nina uhakika kama leo ungekuwa umetumia pesa yako kutoka Kigoma hadi Dar usingelisema hili.Sisi mashabiki wa simba TUTAENDA na tutaujaza uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uhakika kama leo ungekuwa umetumia pesa yako kutoka Kigoma hadi Dar usingelisema hili.Sisi mashabiki wa simba TUTAENDA na tutaujaza uwanja
Dah! Kwa kikosi hiki Simba tumepoteza nafasi ya wazi ya ushindiLicha ya mchezo kusogezwa mbele na Mamlaka za Mpira nchini, Yanga wametuma kikosi chao kinachoanza leo dhidi ya Simba kwa TFF hicho pichani, wakidai mechi ipo kama kawaida kwa upande wao
View attachment 3263721
Yanga SC walikuwa wanaingia hivi leo.
1. Djigui Diarra
2. Israel Mwenda
3. Chadrack Boka
4. Dickson Job
5. Ibrahim Bacca
6. Khalid Aucho
7. Maxi Nzengeli
8. Duke Abuya
9. Prince Dube
10. Pacome Zouzoua
11. Clement Mzize
Kanuni haijafuatwa, mechi huahirishwa 24 hours kabla ya kipute. Hivyo wanacomply.Sasa hawa nao wanataka kujionyesha hawana akili, unasemaje mchezo upo wakati msimamizi kasema hakuna mchezo.
Hizi timu za kariakoo zinadeka sana. Kama watoto vile.