Licha ya mchezo kusogezwa mbele na Mamlaka za Mpira nchini, Yanga wametuma kikosi chao kinachoanza leo dhidi ya Simba kwa TFF hicho pichani, wakidai mechi ipo kama kawaida kwa upande wao
View attachment 3263721
Yanga SC walikuwa wanaingia hivi leo.
1. Djigui Diarra
2. Israel Mwenda
3. Chadrack Boka
4. Dickson Job
5. Ibrahim Bacca
6. Khalid Aucho
7. Maxi Nzengeli
8. Duke Abuya
9. Prince Dube
10. Pacome Zouzoua
11. Clement Mzize