Licha ya mechi kuahirishwa, Yanga watuma Kikosi chao kwa TFF wakisisitiza mchezo upo

Dah! Kwa kikosi hiki Simba tumepoteza nafasi ya wazi ya ushindi
 
Sasa hawa nao wanataka kujionyesha hawana akili, unasemaje mchezo upo wakati msimamizi kasema hakuna mchezo.

Hizi timu za kariakoo zinadeka sana. Kama watoto vile.
Kanuni haijafuatwa, mechi huahirishwa 24 hours kabla ya kipute. Hivyo wanacomply.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…