Licha ya Mkoa wa Mbeya kutoa timu nyingi za ligi kuu unapuuzwa na TFF

Hiyo singida wanajenga wapi?
 
We poyo.yo waulize wakubwa wako kuhusu mchango wa TANGA kwenye michezo kenge ww, huko mbeya timu gani ilishawahi kuchukua ubingwa wa nchi?yaani tafuta mkoa wa kubeza sio TANGA hujui chochote kwenye michezo
Huwez kuibeza Tanga ,, Moro na Mbeya.

Wewe na mtoa mada wote mmekosea. Tukuyu stars ilishachukua ubingwa ligi kuu, Kama ilivyo Mtibwa ya moro
 
WAnyaki wanajipuuza wenyewe.
 
Hutaweza sikia serikali yetu tukufu ikipanga mipango ya kuinvest mbeya kama inavyofanya huko.. mwanza, arusha, tanga na dar.. na hata wabunge na viongozi wetu wa nyanda za juu kusini wapo kimyaaa hawawezi hata kujielezea kuhusu mkoa wao
 
Sio ujinga mkuu, jirekebisheni kwanza, nyie kwenu kila kitu lazima mtumie uchawi....nani anataka kudeal na watu kama nyie?
Mnakera nyie basi tuu.Juzi hapo mumeipokonya timu yetu points kwa makosa ya Namungo..

Mumemfungia kocha kwa miaka 5 kwa uonezi tuu.
 
Sio ujinga mkuu, jirekebisheni kwanza, nyie kwenu kila kitu lazima mtumie uchawi....nani anataka kudeal na watu kama nyie?
Uchawi? Ushawahi ishi Mbeya? Au uchawi ni kutoichagua CCM?

Serikali ikiendelea kuitenga Mbeya, Tutadai uhuru maana miaka nenda rudi ni tunapuuzwa makusudi.

Halafu turudi kwenye uchawi, una takwimu za mikoa inayoongoza kwa uchawi Tz au umeropokwa?
 
Uchawi? Ushawahi ishi Mbeya? Au uchawi ni kutoichagua CCM?

Serikali ikiendelea kuitenga Mbeya, Tutadai uhuru maana miaka nenda rudi ni tunapuuzwa makusudi.

Halafu turudi kwenye uchawi, una takwimu za mikoa inayoongoza kwa uchawi Tz au umeropokwa?
Mtoto una hasira za kijinga sana, ujitenge uende wapi.....kuna nini la maana pale Mbeya, mji tu wenyewe ishu. Nimeishi kule kwa shida kwa miaka 2 na nilishukuru sana baada ya kupata uhamisho.
 
Mtoto una hasira za kijinga sana, ujitenge uende wapi.....kuna nini la maana pale Mbeya, mji tu wenyewe ishu. Nimeishi kule kwa shida kwa miaka 2 na nilishukuru sana baada ya kupata uhamisho.
Taja mkoa wako kwanza halafu linganisha na Mbeya! Kuanzia gharama za maisha na upatikanaji wa fedha we kubwa jinga ambaye huna hasira.
 
Taja mkoa wako kwanza halafu linganisha na Mbeya! Kuanzia gharama za maisha na upatikanaji wa fedha we kubwa jinga ambaye huna hasira.
Sawa, natoka na ninaishi Mwanza
1. Mwanza


2. Mbeya, chimbuko la wachawi

👆Hapo ni katikati ya jiji la Mbeya yaani downtown.
 
Upo sahihi hata maendeleo tu kawaida hawataki ku invest kwetu
Wakajinyonge kwa wivu wao..

Wameifangia figisu Mbeya kwanza Ili kuibeba Namungo ishiriki CAF kwa expense ya Mbeya Kwanza kushuka Daraja..

Tutajuana mbele kwa mbele,Ihefu waleee🔥🔥🔥



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…