Licha ya Mkoa wa Mbeya kutoa timu nyingi za ligi kuu unapuuzwa na TFF

Licha ya Mkoa wa Mbeya kutoa timu nyingi za ligi kuu unapuuzwa na TFF

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Ndio hivyo ukweli lazima usemwe..

Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa na mchango mkubwa kwenye michezo mbalimbali ikiwemo soka, ukweli ni kwamba umekuwa unatengwa na TFF...

Licha ya kuwa na timu Kati ya 2 hadi 4 kwenye ligi kuu na timu zaidi ya 2 ,ligi daraja la kwanza lakini hautiliwi maanani kwenye maendeleo ya soka..

Hakuna mradi wowote wa kuimarisha viwanja kwa nyasi bandia wala kufunga taa..miradi hiyo iko Mwanza,Kagera,Dodoma na Morogoro..

Hakuna mradi wowote wa kujenga viwanja,TFF inajenga Singida,Geita,Tanga,Dar na Mwanza.

Kama ilivyo kwenye siasa,Watu wa Mbeya wameendelea kujikongoja wenyewe.. Bora ieleweke kwamba Mbeya sio Tanzania vinginevyo tuambiwe tutatengwa Hadi lini?👇

Screenshot_20220522-091830.png


Screenshot_20220522-091936.png


Screenshot_20220514-214736.png
 
Ndio hivyo ukweli lazima usemwe..

Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa na mchango mkubwa kwenye michezo mbalimbali ikiwemo soka, ukweli ni kwamba umekuwa unatengwa na TFF...

Licha ya kuwa na timu Kati ya 2 hadi 4 kwenye ligi kuu na timu zaidi ya 2 ,ligi daraja la kwanza lakini hautiliwi maanani kwenye maendeleo ya soka..

Hakuna mradi wowote wa kuimarisha viwanja kwa nyasi bandia wala kufunga taa..miradi hiyo iko Mwanza,Kagera,Dodoma na Morogoro..

Hakuna mradi wowote wa kujenga viwanja,TFF inajenga Singida,Geita,Tanga,Dar na Mwanza.

Kama ilivyo kwenye siasa,Watu wa Mbeya wameendelea kujikongoja wenyewe.. Bora ieleweke kwamba Mbeya sio Tanzania vinginevyo tuambiwe tutatengwa Hadi lini?👇

View attachment 2227203

View attachment 2227204
Sasa unataka TFF ifanyeje kuhusu Mbeya ikiwa wenyewe kwa wenyewe hawalewani?
 
Ulitaka wafanyaje sasa?
Wazipunguze au? TFF wana mradi wa kufunga taa au kujenga viwanja?
Wakiweza wazipunguze kama wameshindwa wajenge miundombinu ya kustahili huko Mbeya kulingana na mchango wake kwenye soka..

Huku kwingine unaona wanafanya nini? Kuna nini cha maana huko Tanga nk? 👇

Screenshot_20220517-081232.png


Screenshot_20220517-081415.png


Screenshot_20220517-081440.png


Screenshot_20220517-081533.png


Screenshot_20220517-081607.png
 
Mikoa isiyo na Mchango wowote wa maana kwenye soka ndio wanathaminiwa..

Hii ni Youth complex Academy ya tff huko Tanga 👇

E0F9DB8E-5B26-4415-A606-62059A8017D1.jpeg


8407D95E-FE64-4FA5-8ED8-1D5BF0B841AD.jpeg


92D446A0-2558-4935-A57C-9D0F1F87824D.jpeg
 
Sisi m
Mbeya tulishatengwa na hiyo serikali yenu kitambo sana
Sio sawa kabisa,Kule Chunya , Halmashauri inajikongoja kujenga uwanja angalau wenye hadhi lakini sio Serikali Wala Tff ambao wako tayari kusaidia ujenzi japo kwa pesa za Fifa achilia mbali ushauri wa kitaalamu tuu..

Ila wameenda kujenga maeneo mengine kama Singida,Geita, Kigamboni,Arusha nk
 
Hilo liopo wazi kabisa na ndo maana laana ya kutoendelea kisoka inaendelea kututafuna.. upendeleo wa kufanya maendeleo nyumbani mkoani kwako hata kama hakuna chochote unacholenga kukifanya.. mbeya imekuwa ikipeleka timu nyingi sana ligi kuu lakini hakuna anaejali kupeleka miundombinu Kule. sasahivi watakuwa na timu nne. keni gold kateleza kidogo tu ingekuwa ya tano.
 
Hilo liopo wazi kabisa na ndo maana laana ya kutoendelea kisoka inaendelea kututafuna.. upendeleo wa kufanya maendeleo nyumbani mkoani kwako hata kama hakuna chochote unacholenga kukifanya.. mbeya imekuwa ikipeleka timu nyingi sana ligi kuu lakini hakuna anaejali kupeleka miundombinu Kule. sasahivi watakuwa na timu nne. keni gold kateleza kidogo tu ingekuwa ya tano.
Mwanza,dar,tanga,na baadhi ya mikoa wameshatoa timu zaidi ya mbili mbona wao hawalii ovyo kama nyinyi walima viaz?chezen mpira kila kitu kina wakati wake
 
We poyo.yo waulize wakubwa wako kuhusu mchango wa TANGA kwenye michezo kenge ww, huko mbeya timu gani ilishawahi kuchukua ubingwa wa nchi?yaani tafuta mkoa wa kubeza sio TANGA hujui chochote kwenye michezo
Fala usiyejua chochote..

Hakuna kitu watu wa Urojo wanaweza izidi Mbeya..

Tanzania Prisons imechukua mara 2..

Tukuyu Stars Banyambala mara 1..

Mbeya City imeshiriki Kombe la Shirikisho Afrika..

Hakuna takataka yeyote kutoka Tanga imewahi fanya hayo hapo juu..
 
Mwanza,dar,tanga,na baadhi ya mikoa wameshatoa timu zaidi ya mbili mbona wao hawalii ovyo kama nyinyi walima viaz?chezen mpira kila kitu kina wakati wake
Wameshatoa lini? Dar ilie kwa lipi ikiwa kila kitu kinafanyika Dar?

Mwanza na Tanga wanaweza kulinganisha na Mbeya kwenye soka kwa lipi has?

Mbeya ni mfalme wa soka wa miaka mingi kabla ya Hiyo mikoa.
 
TFF haiwezi kuboresha viwanja vya CCM, ilaumu CCM kwa nini imeuterekeza uwanja wao wa sokoine wakati huo huo inahakikisha uwanja wao wa Kirumba unakuwa Bora muda wote.
 
Back
Top Bottom