Licha ya Watanzania kuwalilia Marekani waache kuwatangaza, jamaa watangaza tahadhari nyingine dhidi ya Tz

Licha ya Watanzania kuwalilia Marekani waache kuwatangaza, jamaa watangaza tahadhari nyingine dhidi ya Tz

MK254,

Sema nahisi jeuri yao hii hutokana na kwamba wao ndio hutoa misaada kwenye uchumi wa Tz, hivyo wanaweza kusema chochote muda wautakao na bila ya kumuomba yeyote ruhusa wala kushauriana na yeyote. [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji40][emoji40][emoji40]

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom