Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira haupo hivo ndugu ,unataka kuniambia hizo timu ni ngumu kuzid Orlando na berkane?Kuimba kupokezana......ni swala la muda tu-Simba ana Game na Kagera anafuata Azam and then wanaenda kwa Geita Gold baada ya hapo Mabingwa Mara nyingi zaidi tutakuwa tumeshatangaza ubingwa wetu
Acheni kuchungulia jirani akiwa anaoga.Yanga wametoka sare Leo na Prisons na kuwafanya mashabiki wake kuwa na taharuki, to me, Yanga bado wana nafasi ya kuwa mabingwa wa nchi hii kutokana na mechi ngumu alizokuwa nazo Simba, Simba na wana gemu na Kagera, Wanatakiwa waende Geita, waende Ruvuma kwa Mbeya Kwanza na baadae Prisons kule Mbeya, sijawaongelea Mtibwa hapo, wachezaji wa Simba waliopo ss hv sioni nafasi ya kushinda gemu zote hizo huku Dar Yanga wakipoteza.
Hesabu ziko upande wa Yanga
Halafu kwenye mpira hakuna dharau ndugu yangu,hilo tambua kabisaMpira haupo hivo ndugu ,unataka kuniambia hizo timu ni ngumu kuzid Orlando na berkane?
Shida ya Simba ni kudharau game kadhaa kwenye lig na huo ndio ugonjwa wao ,lakin Simba wakiamua kukaza kweli kweli na kocha akawa serious sion timu ya kumsumbua Simba hapo.
Sikatai huu msimu yanga ni bingwa ,lakin atakua bingwa kwa utofaut wa points chache Sana pia atachelewa kutangazwa bingwa ,hiki kipute kinaenda mpaka dakika ya mwisho sio kirahis rahis namna hiyo.
Pia elewa kwasasa mwenye pressure ni yanga huku Simba Hana pressure anacheza kikawaida tu kazi mnayo nyie kwenye hizi mech zilizobaki.
eti simba haina wachezaji.........Yanga wametoka sare Leo na Prisons na kuwafanya mashabiki wake kuwa na taharuki, to me, Yanga bado wana nafasi ya kuwa mabingwa wa nchi hii kutokana na mechi ngumu alizokuwa nazo Simba, Simba na wana gemu na Kagera, Wanatakiwa waende Geita, waende Ruvuma kwa Mbeya Kwanza na baadae Prisons kule Mbeya, sijawaongelea Mtibwa hapo, wachezaji wa Simba waliopo ss hv sioni nafasi ya kushinda gemu zote hizo huku Dar Yanga wakipoteza.
Hesabu ziko upande wa Yanga
Unaota [emoji23]Atapoteza mbeya city, coastal, dodoma fc na biashara. Sare kwa mtibwa na polisi na atashinda zilizobaki.
Simba ndio mabingwa msimu huu wa 2021/22.
Nguvu moja.
Mashabik wa utopolo yaan ile saree tu mnapoteana iviii.Mechi za Simba
Kagera Sugar-Home
Azam-Away
Geita Gold-Away
Mbeya Kwanza-Away
Prisons-Away
Mbeya city-Home
Mtibwa sugar-Home
Yanga
Dodoma jiji-Away
Mbeya kwanza-Home
Biashara-Away
Coastal union-Home
Polisi Tanzania-Home
Mbeya city-Away
Mtibwa sugar-Home
Muda huo simba anashinda tuNikukumbushe tu ..kwasasa timu nyingi zinalinda kubaki ligi kuu so Vita ni kubwa..Yanga na uhakika wanasare zingine Kama tatu mbele.
Na KMC pia kwahyo ubingwa wako ni lazima ushinde mechi zote 8 bila sare hata 1,Ila mm ubingwa wangu kati ya hizo mechi 7 inabidi nishinde mechi 4 tuMashabik wa utopolo yaan ile saree tu mnapoteana iviii.
Simba ana game 8
Yanga game 7
Ntaifukua Hii Comment 29 Jun.Tunzeni hii nukuu "Yanga itaukosa ubingwa kwa tofauti ya point moja tu"