Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

Najaribu mkuu kama macadamia yanakubali Egypt sidhani kama Dar yatagoma nafanya jaribio...miche nimeagiza kwa Lily Tony yumo humu JF mtafute ana miche ya kila aina.
Egypt ni Mediterranean na Dar ni 100 tropiki. Tabia au sifa ya Mediterranean ni kukubali Matunda,Egypt ipo katika ukanda wa hivi na South pia,japo sio part ya Egypt yote ni Mediterranean.
 
Jamaa alitaka kutudanganya. Ni kweli ni ngumu kuota lkn si mwaka mzima. Wengine tumeotesha kitalu na zimeota.
Ukiokota fresh kabisa chini ya mti kama hazijakaa sana ni mwezi na nusu zinaota ila zikikauka sana ni wastani wa miezi mitatu. Hii itakulazimu uziloweke kwa walau siku 3
 
Uthubutu ni nzuri sana nimependa.
Ila passion ndogo au kakara mwitu asili yake ni maeneo ya baridi kama mgeta,soni na Njombe,unaweza kutupa mrejesho kwa jaribio na uthubutu.
Yameanza kuviringa sijajua kwenye kuzaa nitaleta mrejesho eneo ni Bunju Beach
 
Yameanza kuviringa sijajua kwenye kuzaa nitaleta mrejesho eneo ni Bunju Beach
Soon mimi nitapanda ukanda wa pwani na nalima kibiashara!!kwa tabia ya hali ya hewa ya macademia hili zao litastawi nahitaji wenye miche tafadhali au aje inbox tuhamue
 
Napendaga hizooo
 
Wengine naona wanachanganya macadamia nuts na pachira aquatica.

Hii ni pachira aquatica siyo macadamia
 
Asante Mkuu
 
Alamsiki wanaJF
ninahitaji kujua wapi nitapa hizi macadamia nuts
Mikoa gani inalima sana hizi na pia kama kuna mwenye kujua wapi nitazipata kwa manunuzi ya tani za kutosha
Natanguliza shukrani
Ngoja nilale Kwanza,kukicha narudi kukujibu mkuu
 
Nenda Handeni, kanisa Katoliki wanalima mashamba makubwa sana ya macadamia nuts. Kunaitwa Sakarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…