Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Lipo mkuuLile group la whatsapp ulifungua mwanzoni mwa mwaka bado lipo?
Lipo mkuu
Lipo mkuu
atajibu tu, hana noma miss natafutaShosti naona umelizolomola,hayo maswali sidhani kama utajibu
Sasa Mimi nitajuaje mipango ya mtu mkuu?Hua unasema wewe ni mnene. Umewahi kufayiwa prank ya "Pulling the Pig"? Yaani mtu kukutongoza kwakua kawekeana dau na wenzake ila ukikubali uhusiano unaisha kesho yake?
Sitasaport afungwe kwa sababu Kuna kiumbe kusicho na hatia kitakachokuja kuathirika maisha yake yoteIkitokea mwanao wa kike akapata mimba akiwa anasoma utasapoti aliyempa mimba afungwe?
Kuna namna unahisi tunaweza kumlinda mtoto wa kike na hizi mimba za utotoni? Sheria ya kumfunga aliyempa mimba unaona iko sawa?
Kumfunga mtoto wa kiume aliyemdunga binti mimba ni kumnyima haki ya baba mtoto atakayezaliwa...Sitasaport afungwe kwa sababu Kuna kiumbe kusicho na hatia kitakachokuja kuathirika maisha yake yote
Kuhusu kumlinda binti yangu nitamlinda sana kwanza kwa kumpatia mazingira salama pia kumuandaa kiakili ili kujiepusha na mimba za utotoni
Kuhusu sheria ya mimba .kwa kweli haiko friendly kabisa sijui hata aliiweka Nani
Alietunga ile sheria sijui aliwaza niniKumfunga mtoto wa kiume aliyemdunga binti mimba ni kumnyima haki ya baba mtoto atakayezaliwa...
loss of fatherly love and affection
Wa kawaida,Je wewe ni mwanamke wa namna ipi?
Una umri gani?Wa kawaida,
wewe si umesema swali lolote kuhusu sex na mengineyo, au uedit uzi wako
Unataka ukajichagulie mmoja e?Limefikisha wanawake wangapi?
Sasa kulikuwa na haja gani ya kuweka hicho kipengele cha sex?Ungejiheshimu basi mkuu