Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

Any living human who claim to know the answer to this question with certainty is either a fool or a liar, quite possibly both.
I suggest you check for a "cyclic redundacy error" in the phrase:

"....is either a fool or a liar, quite possibly both"

BECAUSE the same phrase confirms CERTANITY within the statement
 
I suggest you check for a "cyclic redundacy error" in the phrase:

"....is either a fool or a liar, quite possibly both"

BECAUSE the same phrase confirms CERTANITY within the statement
I neither know what "certanity" is, nor have I used that word.
 
I neither know what "certanity" is, nor have I used that word.

But, it loolks like you quoted someone who used it,...therefore you must have had a knowledge of what you were quoting. Anyway, the statement confirms without any slight chance of doubts that, ONLY A FOOL OR A LIAR (and to some extent, both of the types), can have a CONFIRMED ANSWER TO A GIVEN QUESTION
 
But, it loolks like you quoted someone who used it,...therefore you must have had a knowledge of what you were quoting. Anyway, the statement confirms without any slight chance of doubts that, ONLY A FOOL OR A LIAR (and to some extent, both of the types), can have a CONFIRMED ANSWER TO A GIVEN QUESTION
Get your spellings straight first.

Are you dyslexic?

I never used "certanity". Can you get that through your thick skull?
 
kweli kichaa ni taaluma! allah ndie aliyesema ilimu ya Roho hamkupewa unanikoromea mgen badala ya allah aliyesema! Mbona shobo? Na moja ya dalili ni hizi kwamc hamna ilimu ya Roho!; kuna hekima gani ukijamba unaachia swala na kukimbia kwenda kunawa na harfu ya ushuzi unaiacha msikitini ukijamba?...
[emoji16]
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele.

Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa, ikifika unakufa, ila kinachokufa ni mwili tuu, ambao unaoza na kugeuka mavumbi, watu wangerudi kuyafukua makaburi ya Wapendwa wao na kushuhudia nini kinatokea kwa miili baada ya kuzikwa, wengi wangeamua bora creamation.

Knowledge yetu ya maisha baada ya kifo is very limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atatokea na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha baada ya kifo. Mwalimu huyo will just come from nowhere, atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.

Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati tuu wewe ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.

Mimi mwenyewe, bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa Jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha tone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.

Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.

Kwenye maandiko yao, wanadai hata Jesus Christ was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.

Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye the 7th Eternity.

Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.

Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wanakuwa wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili uliochoka na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine, jina jingine na mwili mwingine.

Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.

Hivyo tunapofiwa na Wapendwa wetu, tuwalilie kwa kiasi tuu kwa sababu tutawamiss, lakini let's celebrate their life kwa imani kuwa kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele.

Just rejoice, deaths is just a change of bodily state from life to lifeless, but the spirit lives forever, it's eternal.

P
Hivi ndivyo Neno la Mungu linavyosema,
“…sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu… Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu” (Warumi 14:10, 12).

“Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).

Kwa hiyo ni dhahiri kwamba, kila mmoja—watakatifu na wadhambi—watasimama mbele ya Mungu katika Siku ile kuu ya Hukumu.
 
Ok, after the issue of spell check is settled, what would be your point on my argument anyway?
That kid will never bring proper debate.
He is one of those copy and paste heroes.
If he run out of points he jumped on spelling errors and criticism.

There is an old saying.
Any fool can criticize, complain, and condemn—and most fools do. But it takes character and self-control to be understanding and forgiving.
 
That kid will never bring proper debate.
He is one of those copy and paste heroes.
If he run out of points he jumped on spelling errors and criticism.

There is an old saying.
Any fool can criticize, complain, and condemn—and most fools do. But it takes character and self-control to be understanding and forgiving.
Fact
 
Nipo kwenye msiba wa rafiki yangu wa karibu. Wakati naendelea kusikitika na kuomboleza kifo cha rafiki yangu huyu kuna swali linanisumbua kichwa. Naombeni ndugu zangu Wakristu kwa Waislam na Wapagani.

Ni ni kinampata mwanadamu baada ya kufa? Anakwenda wapi mara tu baada ya kufa?

Kwa hili naombeni tujadili kwa staha maana msiba niliopo umenigusa sana.

Asanteni kwa michango yenu ya kujengana kiimani.
Pole sana
 
What argument do you have?

You have no argument. Just vacuous hallucinations.

If you think you have an argument, state it.
That kid will never bring proper debate.
He is one of those copy and paste heroes.
If he run out of points he jumped on spelling errors and criticism.

There is an old saying.
Any fool can criticize, complain, and condemn—and most fools do. But it takes character and self-control to be understanding and forgiving.
Let me wait and see
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele.

Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa, ikifika unakufa, ila kinachokufa ni mwili tuu, ambao unaoza na kugeuka mavumbi, watu wangerudi kuyafukua makaburi ya Wapendwa wao na kushuhudia nini kinatokea kwa miili baada ya kuzikwa, wengi wangeamua bora creamation.

Knowledge yetu ya maisha baada ya kifo is very limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atatokea na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha baada ya kifo. Mwalimu huyo will just come from nowhere, atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.

Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati tuu wewe ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.

Mimi mwenyewe, bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa Jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha tone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.

Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.

Kwenye maandiko yao, wanadai hata Jesus Christ was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.

Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye the 7th Eternity.

Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.

Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wanakuwa wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili uliochoka na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine, jina jingine na mwili mwingine.

Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.

Hivyo tunapofiwa na Wapendwa wetu, tuwalilie kwa kiasi tuu kwa sababu tutawamiss, lakini let's celebrate their life kwa imani kuwa kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele.

Just rejoice, deaths is just a change of bodily state from life to lifeless, but the spirit lives forever, it's eternal.

P
Unakosa kumbukumbu tuu. Unabebwa na uwepo.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele.

Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa, ikifika unakufa, ila kinachokufa ni mwili tuu, ambao unaoza na kugeuka mavumbi, watu wangerudi kuyafukua makaburi ya Wapendwa wao na kushuhudia nini kinatokea kwa miili baada ya kuzikwa, wengi wangeamua bora creamation.

Knowledge yetu ya maisha baada ya kifo is very limited to the ordinary life. Ukikubali kujua zaidi ya unachojua, na ukiwa tayari kujua, mwalimu atatokea na kukufunulia yale usiyoyajua kuhusu maisha baada ya kifo. Mwalimu huyo will just come from nowhere, atakupeleka kwenye 'enlightment' ya kujua deeper Into life, before life na after life.

Siku ambayo mwalimu atakuja ni wakati tuu wewe ukiwa tayari 'when the student is ready, the teacher will apear'.

Mimi mwenyewe, bado sijafikia kiwango cha kumpata mwalimu, lakini kwa mujibu wa maandiko ya wafuasi wa Jumuiya ya 'Rosae Crusis' Msalaba wenye uaridi linalotiririsha tone ya damu wanaamini, kuna maisha kabla ya haya na kuna maisha baada ya haya. Yaani 'life before life' na 'life after life'.

Wafuasi wa Rosae Crusis wanaitwa ma 'rosecrusians'. Hawa jamaa wanauwezo wa kufanya kila kitu, uwezo wa kuwepo mahali popote in a split of second, uwezo wa kuwa invicible na uwezo wa kutenda miujiza.

Kwenye maandiko yao, wanadai hata Jesus Christ was a rosecrusian. Kuna uwezekano hawa wahubiri wanaofanya miujiza ni marosecrusians.

Wao wanaamini kuna 'Supreme Being', call him what you may, be God, Allah, Budha, Brahma, Bahai,etc. Uli kumfikia lazima upitie mbingu 7 waziitazo Eternities. Katika safari yako, utazaliwa, utakufa, utaliwa, utakufa na kuendelea hivyo hivyo mpaka ufike kwenye the 7th Eternity.

Ukufanikiwa kuwa enlighterned, you have the control of death. Yaani unashinda kifo na unaishi milele, ila lazima ubadilishe body from time to time kwa sababu mwili unachakaa mapema.

Mwandishi Linda Goodmans kwenye kitabu chake cha 'Star Signs'
Anasema, you have the control over death na kuna watu aliwajua toka akiwa mdogo, na wanaishi mpaka kesho na umri usio hesabika.

Linda anasema, kwa vile watu huishi takriban miaka 100, ukiweza kuyashinda mauti, unafikia muda wale wote wa rika lako wanakuwa wamekufa mpaka unaona noma, its time to change body, unakubali kufa, wanazika mwili, huku in actual fact, umehama mwili uliochoka na kuchukua mwili mpya na kuishi maisha mapya mahali papya au hata pale pale kama mtu mwingine, jina jingine na mwili mwingine.

Mimi kwa kiasi fulani nakubaliana nao, tatizo ili ukubaliwe kuwa mmoja wao, lazima ukubali kula kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations na hapo ndipo palipo nishinda nikaamua kukubali kuishi maisha haya ya kawaida na knowledge haba. Haya machache nimeyasoma kwa wizi toka vitabu vya muumini viitwavyo 'monograms'. Mambo ya 'de-javu' ni vitu vya ukweli, only vivid of life before life.

Hivyo tunapofiwa na Wapendwa wetu, tuwalilie kwa kiasi tuu kwa sababu tutawamiss, lakini let's celebrate their life kwa imani kuwa kilicho kufa ni mwili tuu, lakini roho zao zipo, na hapo msibani wapo, wanaona kila kitu, wanasikia kila kitu, na baada ya mazishi, roho hizo zinaishi milele.

Just rejoice, deaths is just a change of bodily state from life to lifeless, but the spirit lives forever, it's eternal.

P
Ni katika kukumbushana tuu.
Japo kimwili, JPM amekufa na hatuko naye, lakini ni kimwili tuu, lakini kiroho, JPM yupo, alikuwepo, na ataendelea kuwepo nasi kiroho milele na milele.

RIP rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Paskali
 
Back
Top Bottom