Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

maandiko matakatifu yanasema kila nafsi itonja mauti na kuna maisha baada ya kifo,kwani tunaambia mwana wa adamu atashuka kutoka mawinguni na wafu watafufuka naye atakuja kuwachagua wema na waovu kutokana na matendo yao.

Na baada ya kifo inamaana ile pumzi aliyopuliziwa binadamu inatengana na mwili na kushuka kuzimu ikiwa haina ufahamu tena na wala hakuna mateso yeyote mtu atakayeyapata baada ya kufa hadi pale parapanda ya mwisho itakapolia ambayo itawafufua wale wote waliyo kufa na waliosalia hai wale wenye dhambi wote watakufa na wale wasiyo na dhambi watabadilishwa mwili wa kibinadamu na kuvalishwa mwili mpya na hapo ndipo yesu atakapowaambia karibu kwangu wanagu wazuri nilikwenda kuwandalia makao na sasa nimekuja kuwaachukua, oooooh halelujah......

Na tofauti ya ufufuo ni miaka 1000 biblia inatuambia kati wale waliyofufuliwa wasiyo na dhambi na wale waliokufa wakiwa na dhambi,na mambo yote yatapita lakini neno litasimama.

Na bwana awabariki wote.

ni kweli kuna utenganisho wa mwili na roho (pumzi au mtu wa ndani) lakini wakati tunasubiri ile parapanda ya mwisho kuna mahali yule mtu wa ndani anakaa - ndio maana kna paradiso na kuna kuzimu hivyo ............... Kama wewe ni wa mbinguni - utapumzika paradiso - kama wewe ni wa motoni - utapumzika kuzimu - kwenye mateso .................... Soma habari ya maskini lazaro na tajiri in the bible..... Mungu akubariki sana.
 
Kama hakuna mwanadamu anayejuwa atakufa lini, basi kwa hakika yupo anayejuwa utakufa lini.
 
Angalia baadhi ya maandiko hayo, hata kama wewe si muumini !!
[h=3]John 11:25[/h] Jesus said to her, “I am the resurrection and the life. Whoever believes in me, though he die, yet shall he live,

[h=3]John 5:24[/h] Truly, truly, I say to you, whoever hears my word and believes him who sent me has eternal life. He does not come into judgment, but has passed from death to life.


[h=3]Luke 23:43[/h] And he said to him, “Truly, I say to you, today you will be with me in Paradise.”


[h=3]John 3:16[/h]“For God so loved the world, that he gave his only Son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.


[h=3]Matthew 10:28[/h] And do not fear those who kill the body but cannot kill the soul. Rather fear him who can destroy both soul and body in hell.
Ninefurahi kuona mada hii hapa JF,inaonyesha jinsi gani watanzania au waafrika tunavyoanza kukomboka kifikra na kuwa na mawazo huru.Wazee wetu enzi zao huwezi kujadili mambo haya na utaambiwa umekufuru.Sasa yanazungumzwa hadharani na yanapingwa!
Mi mtazamo wangu ni kwamba hakuna maisha baada ya kufa.Nakumbuka tangu nna miaka 4 hivi nilikuwa nikiwaza sn kuhusu suala hili na ishu ya dini nma Mungu kwa ujumla.Nilimaliza kuogeshwa usiku nakaa na kuaangalia nyota na kuwaza huku nikimuuliza mama yangu maswali mengi na magumu.Nilipokua mkubwa nikabahatika kusoma na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo imani tofauti.Na nilisoma sayansi pia...hiyo kdogo ndo ilimake sense kwa kuwa kila kitu kinaelezewa kwa logic na ushahidi.Kwa bahati mbaya binadamu tuko hivyo hasa waliosoma mana shule inakufundisha kutafakari,kujiuliza na kudadavua mambo.Kuishi baada ya kufa inaonekana ni dhana ya watu wa zamani ambao kufikiri kwao kulikuwa na ukomo na wakiishi kwa kuamini waliyoambiwa wakiwa watoto au kwenye dini zao ambapo uendana na vitisho kama kuchomwa moto wa milele.Ni ajabu kuona mpale leo kuna watu wanaamini kwamba eti mtu ameumbwa na udongo!Habari zilizo kwenye vitabu kweli ni za kitoto sn(myth)ni vigumu kuamini kwa mwene fikra pevu...!life after death is a HOAX...mambo ya km babu wa Loriondo.
 
maneno bila vidhibitisho hakuna kitu wakuu hakuna maisha baada ya kifo maisha ndo haya kula vizuri uwezavyo kabla ujarudi udongon
zote ni imani kama wewe unavyoamini kuwa hakuna maisha baada ya kifo kwa kuwa hakuna wa kuthibitisha ikiwa ili linalozungumzwa lipo au halipo.
 
Angalia baadhi ya maandiko hayo, hata kama wewe si muumini !!
[h=3]John 11:25[/h] Jesus said to her, “I am the resurrection and the life. Whoever believes in me, though he die, yet shall he live,

[h=3]John 5:24[/h] Truly, truly, I say to you, whoever hears my word and believes him who sent me has eternal life. He does not come into judgment, but has passed from death to life.


[h=3]Luke 23:43[/h] And he said to him, “Truly, I say to you, today you will be with me in Paradise.”


[h=3]John 3:16[/h]“For God so loved the world, that he gave his only Son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.


[h=3]Matthew 10:28[/h] And do not fear those who kill the body but cannot kill the soul. Rather fear him who can destroy both soul and body in hell.
yote hayo yapo juu ya neno moja tu "IMANI"
 
Kabla ya kujiuliza swali kama hilo ni muhimu kujiuliza binadamu ni nani? je binadamu anaweza kufananishwa na boga au jiwe? binadamu ni zaidi ya hapo. Binadamu ana roho na roho ndio mwanadamu mwenyewe. Tuanzie hapo kwanza......
 
ni kweli kuna utenganisho wa mwili na roho (pumzi au mtu wa ndani) lakini wakati tunasubiri ile parapanda ya mwisho kuna mahali yule mtu wa ndani anakaa - ndio maana kna paradiso na kuna kuzimu hivyo ............... Kama wewe ni wa mbinguni - utapumzika paradiso - kama wewe ni wa motoni - utapumzika kuzimu - kwenye mateso .................... Soma habari ya maskini lazaro na tajiri in the bible..... Mungu akubariki sana.

Mkuu ule ulikuwani mfano wa kisa(story),na mwisho wa story kuna mafundisho yake..sidhani kama ilikuwa namaana ile Literaly..
 
Angalia aya hizi hapa kwenye surat-AL-A'NKABUUT (QUR-AN, SURA YA 29)

57: Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.

58: Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawaweka katika maghorofa
ya Peponi yenye kupitiwa chini yake mito, wakidumu humo. Ni mwema ulioje huo
ujira wa watendao.

59: Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.

Nyengine hizi hapa:
63: Na ukiwauliza: Ni nani anaye teremsha maji kutoka mbinguni, na akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake? Bila ya shaka watasema: Ni Mwenyezi Mungu. Sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Bali wengi katika wao hawafahamu

64: Na haya maisha ya dunia si chochote ila ni pumbao na mchezo. Na nyumba ya Akhera ndiyo maisha khasa; laiti wangeli kuwa wanajua

Sasa hii mistari inasaidia nini kuonyesha kuwa kuna muislam aliyewahi kufa na kufufuka ili je tueleza Mbingu ilivyo?Mistari yote ni junks tuu umeweka hapa.

Wislam wanaweza sema jehanum zaidi kw avile wanaenda kila siku bila kufa, wanakwenda tafuta nguvu za giza za kutishia watu duniani.
 
there is no life after death aise ,toka kuumbwa kwa ulimwengu hakuna aliyewahi kufa akarudi kusema so siammini hii theory ya life after death unless it has proved me wrong
-Kwanza unaamini dunia iliumbwa, tayari umejikanyaga.
nini kinakuaminisha kuwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu hakuna aliyeawhi kufa na kurudi?Kama unawaamini hao waliokuhadithia au akuandikia kuwa hakuna aiayewahi fufuka, kwanini usiamini wanaokuwambia Yesu alifufuka?
 
Sasa hii mistari inasaidia nini kuonyesha kuwa kuna muislam aliyewahi kufa na kufufuka ili je tueleza Mbingu ilivyo?Mistari yote ni junks tuu umeweka hapa.

Wislam wanaweza sema jehanum zaidi kw avile wanaenda kila siku bila kufa, wanakwenda tafuta nguvu za giza za kutishia watu duniani.

Sawa mkuu ni vyema kubakia na vile unavyoelewa, kwani Mungu amewapa waja uhuru wa kuchagua !!
 
Qur-an sura ya pili

2:55 And [recall] when you said, "O Moses, we will never believe you until we see Allah outright"; so the thunderbolt took you while you were looking on.

2:56 Then We revived you after your death that perhaps you would be grateful.

Hiyo ni mifano michache tu inayofafanua na kuthibitisha maisha baada ya kufa !!

ndio nin unasema sasa hapa?waislam mnaangalia mistari y akuchekesha halafu mnaona vitu vingi.Hembu soma vizuri usema nani kafufuka ktk uislam na kuweza tupa historia ya ahera.

Haya mamistari ya hovyo yapo mengi kt quran,ila ni waislama tuu ndi mabingwa wa kuona miracles ktk hii mistari kw avile inatajataja vitu ila details huku ikiwa too general .MIstari ya kuran ipo jumla jumla kiasi cha kuifany akila muislam kuion akuwa inawakilisha jambo fulani kama fikra zake zitakazo mwambia.
 
Mizimu ni dhana(phenomena).

Tafuta Sherrif wa ukweli maeneo ya pwani halafu atakuapa ride to hell na kurudi,Kuwa tayari kuyakubali masharti ya shetani,then utapata ride ya bure ndipo ukirudi utajua kuna mizimu, ila utahitaji nguvu za ziada kutoka ktk huo mkataba.
 
ndio nin unasema sasa hapa?waislam mnaangalia mistari y akuchekesha halafu mnaona vitu vingi.Hembu soma vizuri usema nani kafufuka ktk uislam na kuweza tupa historia ya ahera.

Haya mamistari ya hovyo yapo mengi kt quran,ila ni waislama tuu ndi mabingwa wa kuona miracles ktk hii mistari kw avile inatajataja vitu ila details huku ikiwa too general .MIstari ya kuran ipo jumla jumla kiasi cha kuifany akila muislam kuion akuwa inawakilisha jambo fulani kama fikra zake zitakazo mwambia.

Ni kama unavyopoteza siku na miaka kusoma vitabu vya literature na ukaweza kuelewa hapa pamekusudiwa nini
kisiasa, kijamii, kiuchumi, n.k. vile2 Qur-an, na vitabu vyote vya Mungu vimekuja kimtindo huo. Bilashaka Mungu ni
mjuzi zaidi yetu na sisi binadamu, tumepata kidogo tu katika elimu yake!!

Labda useme tu mimi siamini chochote, ueleweke, kuliko kuleta excuses kwenye maandiko yaliokamilika!!
 
Back
Top Bottom