Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

Uislam hauamini mtu kuyaona yanayondelea duniani baada ya umauti.

Usiuchanganye na imani za Kikristo na kipagani. Ni tofauti kabisa.

Usukuma wako umeingia kwa sababu umsmetuletea mambo kama fikra na mila zako ulizokulia. Wasukuma si mnajulikana kina Mfalme Zumeradi na kuamini mambo ya kishirikina, uliyoyaandika yana akis usukuma.

Wewe msukuma na uliyemwandika msukuma, itakuwa mna imani ya kujidanganya mkifa mtawaona walio hai.
 

=sababu na sio sababh
=umetuletea na sio umstuletea
=akisi na sio akis

Pia jifunze matumizi sahihi ya nukta.
 
Unatafuta laana ya Mungu wewe mwanadamu mwisho wake ni kuoza na kunuka tu utasikia nini huku umeoza na unanuka😄😄
Unless kama wewe ni mpagani usiyeamini Mungu kinachokufa na kuoza ni lile kasha tuu la kumbebea mtu, liitwalo mwili, lakini roho haifi, inaendelea kuishi kwenye uzima wa milele!. Ama mbinguni peponi kwenye raha ya milele!, ama jehanam kwenye ziwa la moto wa milele yaani motoni!.
P
 

Lilishachomwa moto lile shetani
 
Duh...!
Kumbe wengi hamjui kuwa Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja! Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!. hata hapa pia nomefundisha Je, Wajua Wakristo Wanawasindikizaga Waislamu Kufunga Ramadan?. Leo ni Jumatano ya Majivu, Wakristo tutafunga Siku 40, Vipi Waislamu Mtatusindikiza?

Adamu na Hawa ndio Adamu na Eva!
Nabii Ibrahim ndie Nabii Abraham
Isaka ndie Izhaq
Ishamel ndie Isumaili
Yakobo ndie Yakub
Joseph ndie Yusufu
Moses ndie Mussa
Yesu Kristo ndie Nabii Issa bin Maryam
Torati ndio Taurat
The Almighty God ndie Allah
P
 
Upige goti ujifunze Uislam, usichanganye Uislam na Ukristo, ni vitu tofauti kabisa.

Hata uwe baba na mama mmoja, huwezi kuhukumiwa wewe kwa kosa la ndugu yako, labda muwe mmeshirikiana hilo kosa.
. Usiulinganishe Uislam na Ukristo, ni vitu tofauti kabisa.
 
Ni ufinyu tuu wa uelewa tuu, Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Nabii Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismail aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri Hagir kwa ruhusa ya mkewe Sarah na Wakristo ni uzao wa mwanaye wa pili Isaka.

Sheria ya Mungu kwa dini zote mbili ni sheria moja ile ile ya Mussa iliyoshushwa kwenye Kumbukumbu la Torati.

Mungu wa Wakristo ndio huyo huyo Mungu wa Waislamu!.
Naomba hii sasa itoshe usije haribu bure Swaumu yako!.

P
 
Ufinyu wa uelewa wa wasukuma nani asiyeuelewa Tanzania hii?
 
Utakuwa umetenda haki kama utaandika uzi kama huu huu wenye kumhusu Julius Nyerere Rais wa kwanza wa Tanzania.

Magufuli ni rais wa tano ametanguliwa na wanne kabla. Je, wasaidizi wa Nyerere na wao walitendewa haki?. Je tuliweza kumuenzi Julius Nyerere kwa vitendo akiwa mwasisi wetu?.

Magufuli ni matunda ya awamu ya Nyerere na Mwinyi, ndio wale waliosomeshwa bure miaka ile ya 1960 na 1970, tungeanza kwanza kupeleka mawazo kama hayo katika awamu ya kwanza.
 
Magufuli ni matunda ya awamu ya Nyerere na Mwinyi, ndio wale waliosomeshwa bure miaka ile ya 1960 na 1970, tungeanza kwanza kupeleka mawazo kama hayo katika awamu ya kwanza.
JPM kama ni kusoma bure ni primary tuu!. Sekondari alisomea shule ya kulipia ya Seminar ya Katoke, akafukuzwa Shule na Rector wa seminary hiyo enzi hizo Padri Severino Niwemugizi kwa kosa fulani!. Akahamia Lake Sec ya Mwanza ni sekondari ya kulipia!.

P
 
MWALLA umeamua kumchana Kigogo.

Tuongezee nyama kidogo, maana kigogo alikuwa anafichua ya mvunguni, who were/are his sources?
 
Wewe Sukuma Gang tulishakupuuza na kwa taarifa yako hata ulie hupati uteuzi ng'o!!
 
Asingeachiwa ingekuaje
Read read read.
Ukiona bado hujaelewa nitakuelewesha
P
 
Hata huku kufutwa kwa jina lake kwenye Stendi ya Magufuli, Magufuli mwenyewe huko Aliko anaona, na ule msemo wa " First impression lasts longer", then Standi ya Magufuli, japo imebadilishwa jina, lakini Itaendelea kuitwa ni stendi ya Magufuli, mioyoni mwa watu kwa miaka mingi ijayo, hadi pale his legacy itakapofutika kwa kizazi kijacho ambacho hakijawahi kumjua Magufuli.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…