Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Pale unasubiri baba akufundishe Nini maana ya maisha,halafu nae anakuja kukwambia tunaishishi tu mwananguðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perish the thought hawawezi shugulikiwa wote wengi wataachwa tu.Hapo kwenye "Viongozi wahalifu siyo Sabaya peke yake washughulikiwe wote bila double standard" ndiyo nimepaelewa na nakubaliana na wewe.
Aisee.Pasko ukiongea naye Magufuli kwa simu ya upepo, kama walivyofanya Chalamila, muulize kwa nini alikataa kukaguliwa na CAG, alipochukua ile 1.5Tril.?
[emoji106][emoji106][emoji817]Mbona ulikejeli Lissu kupigwa risasi kama kweli unatetea haki na utu wa watu wengine?
Pascal, you are trying to show us that you are man of principle, but actually you are not.
In short, you are not objective and you will never be so. We know you very well.
Ni kweli kabisaPaskali asilete unafiki hapa,
-Alitetea na kusifia sana ukatili wa mwendazake kwa kivuli cha uzalendo.
-aliwachongea waandishi wenzake mpaka wakanyea debe mf:kabendera.
Kilichotokea kwa KABENDERA,
100% ilianzia kwa paskali kusambaza mabandiko yake na kushauri ashughurikiwe.
Na kweli jiwe alimshughurikia mpk mama yake akafariki uku mwanae akiwa jela.
Kama kweli karma ipo,
Basi ianze na wewe mwenyewe hapo paskali.
USILETE UNAFIKI HAPA