Katika tembea yangu pande mbalimbali za ulimwengu ingawa ubaguzi kama unavyosimuliwa enzi hizo zilizopita kihistoria haupo , bado zama zetu hizi huona sisi watu wa asili ya kiafrika bado twapenda kukaa siti za nyuma siyo ktk mabasi tu pia hata katika mijadala hatujitokezi kama wengine kwa wingi.
Wenzetu wana kina PLO Lumumba kibao ktk mijadala mizito ya kijamii, sayansi, teknolojia, saikolojia ,anga za Juu (space), n.k ila siye wamatumbi tuna wachache sana pamoja na usomi wa ngazi zote mpaka PhD waafrika wapo kibao. .