Life insurance in Tanzania

Life insurance in Tanzania

sleee

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
212
Reaction score
306
Habar za kazi wadau,

Naomba kupewa Elimu ya kutosha kuhusu Life Investment Insurance maana naona leo Ndugu Mfanyakazi wa Jubilee amekuja ofisini kutushawishi kujiunga na Bima ya Maisha wanayotoa.

Akasema wanatoa ya Eimu na ya Uwekezaji.

Mimi nikawa na Interest kwenye Uwekezaji.

Kwakuwa bado sijaiva Vizur kuhusu jambo hilo nikaona nililete kwenu Wadau Nipate More Clarification.

Ni kampuni ipi hapa Bongo ni nzuri zaidi kuwekeza LiFe Investment Insurance?

Pili ni changamoto zipI ambazo mtu anaweza kuzipata akishajiunga na huduma ya Bima ya Maisha kwenye Uwekezaji.
 
Bima ya maisha ni nzuri, na imegawanyika katika makundi mbalimbali, kwahyo mtu anaangalia anstaka kuwekeza katika nini,

Kuna kundi la kwanza linaitwa fanaka, hapa mtu anakuwa anaweka pesa kidogokidogo kulingana na uwezo wake. Na muda wa kuiva au kumature kiwango cha chini ni miaka mitano cha juu kabisa miaka 20.

Kwahyo mtu anaamua katika uwekezaji wake awe anachukua kuanzia miaka mingapi.

Kundi la pili ndio elimu, hapa mtu anawekeza kwaajili ya elimu yake au watoto wake nayo inaanzia miaka mitano Hadi 20

Muhusika anachagua tu labda anataka kuwekeza elimu ya mtoto wake kwa miaka mingapi.

Faida zinazopatikana zipo nyingi ambapo mbali na kusubiria hela yako immature kwa kipindi cha miaka mitano kuna riba unakuwa unapata,

Kama ikitokea umefariki hata chini ya muda wa uwekezaji mtoto au familia yako atalipwa sawa na uwekezaji wa ile miaka uliyochagua.

Hiyo ni kwa upande wa elimu.

Upande wa nafaka kama ukipata msiba bima itakulipa kiasi Fulani cha pesa kulingana na uwekezaji wako,

Kiufupi ni hayo tu kwa maelezo zaidi unaweza nipm .

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mm nahitaji sana kujua kuhusu bima za afya za makampuni zipi zenye uhakika? Nimechoka na NHIF wanachagua matibabu ya kulipia ni kama betting tu, unaambiwa wanalipia Citi Scan ya laki 8 lakn wanakukatalia matibabu ya laki moja
 
Bima ya maisha ni nzuri, na imegawanyika katika makundi mbalimbali, kwahyo mtu anaangalia anstaka kuwekeza katika nini,

Kuna kundi la kwanza linaitwa fanaka, hapa mtu anakuwa anaweka pesa kidogokidogo kulingana na uwezo wake. Na muda wa kuiva au kumature kiwango cha chini ni miaka mitano cha juu kabisa miaka 20.

Kwahyo mtu anaamua katika uwekezaji wake awe anachukua kuanzia miaka mingapi.

Kundi la pili ndio elimu, hapa mtu anawekeza kwaajili ya elimu yake au watoto wake nayo inaanzia miaka mitano Hadi 20

Muhusika anachagua tu labda anataka kuwekeza elimu ya mtoto wake kwa miaka mingapi.

Faida zinazopatikana zipo nyingi ambapo mbali na kusubiria hela yako immature kwa kipindi cha miaka mitano kuna riba unakuwa unapata,

Kama ikitokea umefariki hata chini ya muda wa uwekezaji mtoto au familia yako atalipwa sawa na uwekezaji wa ile miaka uliyochagua.

Hiyo ni kwa upande wa elimu.

Upande wa nafaka kama ukipata msiba bima itakulipa kiasi Fulani cha pesa kulingana na uwekezaji wako,

Kiufupi ni hayo tu kwa maelezo zaidi unaweza nipm .

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kiongozi mbona Kama umesahau biima moja ya maisha,Ile ya kifo
Wanandoa mnakata bima ,endapo mmoja wenu akifariki mmoja anavuta mpunga,premium yake huwa inakua kubwa kubwa maana na yenyewe mtu unavuta mpunga mrefu
 
Mm nahitaji sana kujua kuhusu bima za afya za makampuni zipi zenye uhakika? Nimechoka na NHIF wanachagua matibabu ya kulipia ni kama betting tu, unaambiwa wanalipia Citi Scan ya laki 8 lakn wanakukatalia matibabu ya laki moja
MRI ni gharama kuliko CT Scan, MRI haifiki 800000

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jubilee vifurushi vyake vipoje mkuu?
Kuna cha kuanzia laki tano Hadi laki mbili na sitini na moja hii ni kwa bima ya hapa Tanzania tu Bila kuvuka nje ya mpaka

Halafu kuna inayoanzia milioni na kuendelea, ambayo ni ndani na nje ya nchi,
 
Back
Top Bottom