Life is not cool for everyone

Life is not cool for everyone

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo?

Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine hatukuendelea hatua inayofata, wengine tushaoa wengine bado hatujaoa, wengine bado tuna hali mbaya kiuchumi wengine tushatoboa

Kuna wengine hata kupata milo miwili kwa siku sio suala la uhakika, wengine walienda mamtoni wengine walirudi kijijini, bila kusahau kuna wenzetu walishafariki, inshort life is not cool to everyone, kwaiyo popote unapoonana au kuwasiliana na rafiki yako wa muda mrefu mlioachana shule tafadhari jitahidi maongezi yenu yawe simple tu kusalimiana na kujuliana hali inatosha usilete yale maswali binafsi sana mfano unafanya kazi gani?, Umeoa?, Una mtoto? N.k

Usisababishe mwenzako ajione hana thamani kwa sababu wewe umeshatoboa au upo katika nafasi nzuri ya kiuchumi, maisha ni kupanda na kushuka, kikubwa wote tupo hai.
 
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo?

Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine hatukuendelea hatua inayofata, wengine tushaoa wengine bado hatujaoa, wengine bado tuna hali mbaya kiuchumi wengine tushatoboa

Kuna wengine hata kupata milo miwili kwa siku sio suala la uhakika, wengine walienda mamtoni wengine walirudi kijijini, bila kusahau kuna wenzetu walishafariki, inshort life is not cool to everyone, kwaiyo popote unapoonana au kuwasiliana na rafiki yako wa muda mrefu mlioachana shule tafadhari jitahidi maongezi yenu yawe simple tu kusalimiana na kujuliana hali inatosha usilete yale maswali binafsi sana mfano unafanya kazi gani?, Umeoa?, Una mtoto? N.k

Usisababishe mwenzako ajione hana thamani kwa sababu wewe umeshatoboa au upo katika nafasi nzuri ya kiuchumi, maisha ni kupanda na kushuka, kikubwa wote tupo hai.
Pole mdogo wangu wamekusikia wakuu
 
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo vipi? Madogo hamjambo?

Twende moja kwa moja kwenye topic, ktk maisha yetu kuna marafiki zetu ambao tuliachana nao tukiwa shule na hatujaonana kwa kipindi kirefu, kama unavyojuwa maisha hayamnyokei kila mtu kuna wengine tuliendelea na masomo wengine hatukuendelea hatua inayofata, wengine tushaoa wengine bado hatujaoa, wengine bado tuna hali mbaya kiuchumi wengine tushatoboa

Kuna wengine hata kupata milo miwili kwa siku sio suala la uhakika, wengine walienda mamtoni wengine walirudi kijijini, bila kusahau kuna wenzetu walishafariki, inshort life is not cool to everyone, kwaiyo popote unapoonana au kuwasiliana na rafiki yako wa muda mrefu mlioachana shule tafadhari jitahidi maongezi yenu yawe simple tu kusalimiana na kujuliana hali inatosha usilete yale maswali binafsi sana mfano unafanya kazi gani?, Umeoa?, Una mtoto? N.k

Usisababishe mwenzako ajione hana thamani kwa sababu wewe umeshatoboa au upo katika nafasi nzuri ya kiuchumi, maisha ni kupanda na kushuka, kikubwa wote tupo hai.
Safari ni hatua
 
umeongea ukweli ila mafanikio ya mtu furahia

Binafsi natakaga watu naowajua wafanikiwe ili wasinisumbue kuomba msaada baadae
 
Word
_20220726_175800.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeongea ukweli ila mafanikio ya mtu furahia

Binafsi natakaga watu naowajua wafanikiwe ili wasinisumbue kuomba msaada baadae
Ni kweli kabisa ndugu yangu ila kwa mikasa tunayokutana nayo kuna maswali ukimuuliza mtu ni kama unamtonesha kidonda., ni vyema tukajua magumu au mazuri wanayopitia watu kupitia vyanzo vingine ila sio kuwaauliza moja kwa moja vinginevyo uwe na mpango wa kumsaidia kama akikueleza shida yake
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu ila kwa mikasa tunayokutana nayo kuna maswali ukimuuliza mtu ni kama unamtonesha kidonda., ni vyema tukajua magumu au mazuri wanayopitia watu kupitia vyanzo vingine ila sio kuwaauliza moja kwa moja vinginevyo uwe na mpango wa kumsaidia kama akikueleza shida yake
Kweli kuna baadhi ya maswali tunayachukulia poa ila sio rahisi kwa baadhi ya watu kuyajibu...unakuwa unawatonesha

Maswali kuhusu education, love life & Job huwa yako complex sana
 
Back
Top Bottom