Life is not fair aisee! Malipo ya show moja ya Diamond ni sawa na ya show 5 za Alikiba ktk Fiesta

Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
Umetoa taarifa kwa ushabiki mno hadi taarifa imekuwa ya mashaka kuiamini kutokana na uwasilishaji wako
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
Samahani mkuu unaweza kututafsilia huu uzi wako wa cha ugoko????natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
So what next!
 
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
Alafu jifunze kizungu mshamba wewe..! LIFE IS NOT FAIR not Life is fear..! Two different things.
 
Lichadi ni bora ungeandika Kiswahili.

Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.

Life is not fear aisee....
 
Diamond sio wa level ya msanii yyt tanzania na east africa. Diamond kwa sasa ni international. Mkubali au mkatae dogo keshatusua hizo kelele zenyu hazimzuii kukata mbuga mwacheni aende jamani
 
Diamond sio wa level ya msanii yyt tanzania na east africa. Diamond kwa sasa ni international. Mkubali au mkatae dogo keshatusua hizo kelele zenyu hazimzuii kukata mbuga mwacheni aende jamani
Kimataita hawalipwi 20mil kwa show.

Yaani wa kimataifa kama brown au bieber wanapiga mlima 1.2bn na kuendelea.sema tu ni msanii aliyefanikiwa kupita wote tz.
 
Yaani anaingiza milioni 2 kwa usiku mmoja daah mbona mimi milioni mbili ni miezi kadhaa? Kweli life is not fair
 
Angalia ulivyojiabisha mkuu.Kila mmoja anakuona zwazwa pole sana
 
We bwege jifunze kuandika kwanza, kama huwezi english tumia lugha unayoelewa
 
What are probrem hear?! Life is not fear maana yake maisha si woga. Diamond amefanikiwa kwa sababu hakuwa mwoga - hakujali alikotokea wala hakujali kingereza. Arirara mbere na vikwazo, yaani, ali-overcome fear and now he is leaving big life.
 
Lakini kumbuka Pimbikiba anakwea Fastjet bure
 
haya umeongea ya watu.. na wewe unapata sh ngapi ndani ya usiku 1?
 
Diamond sio wa level ya msanii yyt tanzania na east africa. Diamond kwa sasa ni international. Mkubali au mkatae dogo keshatusua hizo kelele zenyu hazimzuii kukata mbuga mwacheni aende jamani
Sisi watz ukaidi ni sifa yetu...kukubal ukwel ni ngumu...ila ipo siku wataelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…