Life is not fair, Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na hawapati HIV

Life is not fair, Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na hawapati HIV

James88

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2017
Posts
1,700
Reaction score
1,761
Huenda hii ikawa moja kati ya phrase maarufu sana duniani. Lakini je ni kwa Namna gani maisha hayapo fair? Hebu fikiria Snerio zifuatazo.

1. Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na mbaya zaidi wanafanya hivyo watu ambao hata hawazijui hata backgrounds zao amd yet hawawi infected ma HIV. Lakini kuna mtu let say a woman, hajawahi kusex kabisa then anaamua siki hiyo ajaribu and anaishia kupata Ujauzito na HIV juu.

2. Kuna watu wanaiba kila siku iendayo kwa Mungu na hawakamatwi. Ila kuna mwingine anaenda kuiba siku yake ya kwanza tu anaishia kupigwa vikali na kuchomwa moto na kufa.

Kuna mifano mingi sana ambayo inaweza kuonesha how life is not fair. Mtu unaweza kuongezea mingine...

Karibuni.
 
Huenda hii ikawa moja kati ya phrase maarufu sana duniani. Lakini je ni kwa Namna gani maisha hayapo fair? Hebu fikiria Snerio zifuatazo.

1. Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na mbaya zaidi wanafanya hivyo watu ambao hata hawazijui hata backgrounds zao amd yet hawawi infected ma HIV. Lakini kuna mtu let say a woman, hajawahi kusex kabisa then anaamua siki hiyo ajaribu and anaishia kupata Ujauzito na HIV juu.

2. Kuna watu wanaiba kila siku iendayo kwa Mungu na hawakamatwi. Ila kuna mwingine anaenda kuiba siku yake ya kwanza tu anaishia kupigwa vikali na kuchomwa moto na kufa.

Kuna mifano mingi sana ambayo inaweza kuonesha how life is not fair. Mtu unaweza kuongezea mingine...

Karibuni.
Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako

Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"

Life is not fair kabisa yaaan
 
Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako

Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"

Life is not fair kabisa yaaan
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako

Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"

Life is not fair kabisa yaaan
😂hahaha
 
Hahahah... umeua mkuu.
Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako

Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"

Life is not fair kabisa yaaan
 
Huenda hii ikawa moja kati ya phrase maarufu sana duniani. Lakini je ni kwa Namna gani maisha hayapo fair? Hebu fikiria Snerio zifuatazo.

1. Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na mbaya zaidi wanafanya hivyo watu ambao hata hawazijui hata backgrounds zao amd yet hawawi infected ma HIV. Lakini kuna mtu let say a woman, hajawahi kusex kabisa then anaamua siki hiyo ajaribu and anaishia kupata Ujauzito na HIV juu.

2. Kuna watu wanaiba kila siku iendayo kwa Mungu na hawakamatwi. Ila kuna mwingine anaenda kuiba siku yake ya kwanza tu anaishia kupigwa vikali na kuchomwa moto na kufa.

Kuna mifano mingi sana ambayo inaweza kuonesha how life is not fair. Mtu unaweza kuongezea mingine...

Karibuni.
Lazima uelewe kuwa kuna wajuzi na wanaridhaa (professionals and amateurs) kwenye kila sekta na kila jambo
 
Kuna mtu alibandika uzi akionesha jinsi maisha yalivyo ya ajabu, watu wanaofanya hovyo hovyo wanafanikiwa lakini wewe unakuwa very smart lakini unaangukia pua kila siku
 
Back
Top Bottom