Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Write your reply...bado unamiini uwepo wa hilo gonjwa la kufikirika acha uboya mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli utakosa kwenye hiyo 1%?Kisayansi kuna asilimia (1)ya watu duniani ambao damu zao hazipati UKIMWI kabisa
Sijui sababu hata UKIMWI wenyewe sijawahi kupimaWewe kweli utakosa kwenye hiyo 1%?
Katika kila kundi la watu lazima wawepo strong na weak,kwa kawaida strong people lazima wawe wachache katika kila kundi na weak lazima wawe wengi hiyo ni nature mkuu.Huenda hii ikawa moja kati ya phrase maarufu sana duniani. Lakini je ni kwa Namna gani maisha hayapo fair? Hebu fikiria Snerio zifuatazo.
1. Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na mbaya zaidi wanafanya hivyo watu ambao hata hawazijui hata backgrounds zao amd yet hawawi infected ma HIV. Lakini kuna mtu let say a woman, hajawahi kusex kabisa then anaamua siki hiyo ajaribu and anaishia kupata Ujauzito na HIV juu.
2. Kuna watu wanaiba kila siku iendayo kwa Mungu na hawakamatwi. Ila kuna mwingine anaenda kuiba siku yake ya kwanza tu anaishia kupigwa vikali na kuchomwa moto na kufa.
Kuna mifano mingi sana ambayo inaweza kuonesha how life is not fair. Mtu unaweza kuongezea mingine...
Karibuni.
hahahahahaWote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako
Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"
Life is not fair kabisa yaaan
Acha kupiga piga kelele, mropokaji asiye jua siri ni nini, na maongezi ya watu wawili ni nini anaomba umuombee. Piga magoti sasa umuombee mkemia mropokajiKweli kabisa unakuta wapo watu wamejiandaa kugombea urais kwa miaka mingi lakini unashangaa siku zikifika linasukumizwa ndani lijitu lisilojua chochote jinsi ya kuishi na kuongea na wanananchi
Nitatambaa kabisa ili kumfurahisha zaidiAcha kupiga piga kelele, mropokaji asiye jua siri ni nini, na maongezi ya watu wawili ni nini anaomba umuombee. Piga magoti sasa umuombee mkemia mropokaji
DuuuuYou steal the Bible, you go to hell. That's how it works.
Umedandia vipaji, jitafutie kipaji chako. mnalaumu laumu bure tu, kuna msemo wa umakondeni unasema '' Iga ufe''/upotee!'' fuata jini likunyonye macho.Kuna mtu alibandika uzi akionesha jinsi maisha yalivyo ya ajabu, watu wanaofanya hovyo hovyo wanafanikiwa lakini wewe unakuwa very smart lakini unaangukia pua kila siku
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako
Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"
Life is not fair kabisa yaaan
HatufananiHuenda hii ikawa moja kati ya phrase maarufu sana duniani. Lakini je ni kwa Namna gani maisha hayapo fair? Hebu fikiria Snerio zifuatazo.
1. Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na mbaya zaidi wanafanya hivyo watu ambao hata hawazijui hata backgrounds zao amd yet hawawi infected ma HIV. Lakini kuna mtu let say a woman, hajawahi kusex kabisa then anaamua siki hiyo ajaribu and anaishia kupata Ujauzito na HIV juu.
2. Kuna watu wanaiba kila siku iendayo kwa Mungu na hawakamatwi. Ila kuna mwingine anaenda kuiba siku yake ya kwanza tu anaishia kupigwa vikali na kuchomwa moto na kufa.
Kuna mifano mingi sana ambayo inaweza kuonesha how life is not fair. Mtu unaweza kuongezea mingine...
Karibuni.
HahahaMfano mm nilikula mademu 25 dar na ukimwi nikapima sikukuta.... ila nishaacha uzinzi