Life is not fair, Kuna watu wanafanya mapenzi miaka nenda miaka rudi bila kinga yoyote na hawapati HIV

Wote MKEO na MCHEPUKO wanapata mimba kwa wakati mmoja, wanajifungua na baada ya kupima DNA hakuna mtoto hata mmoja ambae ni wakwako

Hii ndo tunaita "KUPOTEZA NYUMBANI NA UGENINI"

Life is not fair kabisa yaaan
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…