Life is not fair: Niliamini uwezekano wa kupata pesa kwa njia halali ni mkubwa sana...



Naamini upande wa Mungu ni bora zaidi. Asante sana kwa busara zako.
 

asante sana kwa maneno yako ya kutia moyo
 

mimi huwa napenda sana kusaidia ombaomba njiani kuliko kutoa sadaka.
 
Mungu hapatani na utajiri,
Uliza tunaupata wapi utajiri.
Usiweke ma dini dini mbele
Utakufa mtu Chee
na msalaba shingoni.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuwa na subira ,ila unaweza subiri na ukakosa.
 
Ongea na Yesu Kristo mwambie kila shida yako na mwombe akusaidie kupata kazi na riziki ya kutosha, omba, omba, omba bila kuchoka.Kamwe usiende kwa waganga kwani mambo yako ndio yatakuwa mabaya zaidi.

AMEENI...Mungu akubariki sana
 
Halafu kingine acha kujilinganisha..yawezekana hapo ndio unapojiona kama unasindikiza wenzako..
 
Pitia ushauri huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana mliozaliwa 1982 mnatamaa sana babu wa Loliondo alisubiri hadi miaka 75 ndio akatoboa wewe miaka 33 tu unataka uwe bilionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…