Life mentor/wife materials/ mtu anayeweza kuleta badiliko kwenye maisha

Life mentor/wife materials/ mtu anayeweza kuleta badiliko kwenye maisha

Bornagan

Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
94
Reaction score
96
Mimi ni kijana umri miaka 24, elimu ni digrii moja ya uchumi; Kazi ni mwajiriwa na mfanyabiashara.
Ninaishi dar maeneo ya Morocco natafuta mwanamke anayejielewa kuhusu maisha/mtafutaji /life patner/mshahuri/mentors kigezo kikubwa kichwani awe safi ili aweze kuwa catalyst nzuri kwenye maisha . Kwa nini nimeamua kumtafuta mtu wa kusaidiana naye maisha?

Kwanza wanawake wengi ninaokutana nao hawajielewi kimaisha wadada wengi chini ya miaka 24 wanaona still wana mda wa kuendelea kuchezea maisha. Pili nimekuwa natamani kufungua biashara nyingi sana ila nakosa time ya kuzisimamia zinakufa...naamini nikiwa na mtu wa kunisaidia anaweza akasimamia kwa ufanisi.

Pia umri unaenda na naona nina kila kitu ninachohitaji ili kuanza mahusiano ya kudumu na mtu na wanawake ninaokuwa nao wengi naona wananipotezea mda siwaelewi kabisa. Mtu aliyeokoka itapendeza. Mtu ambaye anaona anaweza akawa mshahuri nzuri/mke/ na anajielewa anicheki pm plz. Nawatakieni jumapili njema

Note: pia maisha ya kabla ya ndoa nimegundua napoteza hela & time yangu nyingi kwa watu ambao hata future nao sina. Bora hela yangu iliwe na mke/mtoto wangu kuliko mpita njia ambaye hatakuja kuwa na shukrani na kama mjuavyo finali ya uzeeni haipo mbali miaka inakimbia sana
 
Si uajiri manager, kweli watu wengi wanaingia kwenye ndoa for the wrong reasons
We uliingia kwenye ndoa kwa sababu gani?? Maana binadamu kuwa peke yako unakuwa hunakamilika mpaka upate mwenza wa kusaidiana naye
 
Mkuu chungulia PM zitakuwa zimeanza kuingia.ukikosa kabisa hapa jf Nina dada yangu home namtafutia mchumba Kama wewe.yuko vizuri sana
 
Mkuu chungulia PM zitakuwa zimeanza kuingia.ukikosa kabisa hapa jf Nina dada yangu home namtafutia mchumba Kama wewe.yuko vizuri sana
Thanks mkuu..mtu wanaume wa ukweli tunakuana mkuu, najua kuna kipindi umewahi kupitia kipindi kama hik mkuu. Ndo maana umetoa very constructive point na umetamani niwe shemeji yako...sema sasa usipende kumchagulia mtu kitu ..inawezekana we unAONA anahitaji mtu kumbe ni mdangaji sana na hayupo serious na maisha.
 
Tufunze Mkuu tulitakiwa tuingie kwa ndoa kwa kuziangatia nini?
Upendo, chemistry etc! Huyu biashara zikifa huyo mke atapata tabu saana...kama anataka mtu wa kuendesha biashara zake hizo ni kazi za watu..watu wameenda shule kusomea.
 
Upendo, chemistry etc! Huyu biashara zikifa huyo mke atapata tabu saana...kama anataka mtu wa kuendesha biashara zake hizo ni kazi za watu..watu wameenda shule kusomea.
Sidhani kama utampenda (upendo) mtu pasipo na sababu ya kumpenda. Akipata sababu ya kumlenda chemistry itajengeka tu.

Biashara unakuta ya duka la rejareja au kibanda cha chipsi uajiri meneja kweli!
 
Vipi mbona hujaweka unataka awe na experience miaka mingapi..
Upendo, chemistry etc! Huyu biashara zikifa huyo mke atapata tabu saana...kama anataka mtu wa kuendesha biashara zake hizo ni kazi za watu..watu wameenda shule kusomea.
Love inakuwepo pale mnapokuwa mnafanya kitu kwa pamoja na kikawa na mATOKEO mazuri mkuu
 
Vipi mbona hujaweka unataka awe na experience miaka mingapi..
Upendo, chemistry etc! Huyu biashara zikifa huyo mke atapata tabu saana...kama anataka mtu wa kuendesha biashara zake hizo ni kazi za watu..watu wameenda shule kusomea.
Love inakuwepo pale mnapokuwa mnafanya kitu kwa pamoja na kikawa na mATOKEO mazuri mkuu
 
Back
Top Bottom