Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anayehitajika ni msaidizi na yeye anaonekana hii kwake sio fursa ..bora akawaachia wanaojielewa mkuuSidhani kama utampenda (upendo) mtu pasipo na sababu ya kumpenda. Akipata sababu ya kumlenda chemistry itajengeka tu.
Biashara unakuta ya duka la rejareja au kibanda cha chipsi uajiri meneja kweli!
Sio lazima ila hili tangazo nimeliweka humu ili kuweza kumpata ninayohitaji kirahisiHili tangazo huyo mtu lazima atokee humu jf?
Amina mkuuMungu akufanyie wepesi
Hahahahah umefikiri nje ya box mkuuMkuu tangaza nafasi za kazi warembo watakuja tu wakuzid na moja ya sifa awe single ila take care watu watakana watu wao
Mi nilikuwa mpenzi mtazamaji mkuu. Ndo nimeamua kuvamia jamii kwa sababu ya ishu yangu tu hapo...sisi wengine tunafuatilia coment zenu tuHivi si mjage na ID zenu za kila siku, mpaka mfungue mpya?
Asante ..nitambulishe kwa binti anayejielewa basi najua huwezi kosaHaya karibu mpenzi msomaji.
Asante ..nitambulishe kwa binti anayejielewa basi najua huwezi kosaHaya karibu mpenzi msomaji.
Haya maisha usipogundua mapema unaweza kuta mtu unagonga 30 huna mtoto/nyumba/kiwanja na bado unaburuzwa na mabosi wa kiswahiliNakupa pongezi kwa kujitambua,ila ukija kutajirika usije ukamfukuza au kumfanyia visa
Haya mkuu ngoja ni reserve comment yangu mpaka nikifanikiwa nilete mrejeshoAnaye jielewa nikimwambia mtu mwenyewe ni wa nyuma ya keyboard mi si ndo nitaonekana sijielewi.
Good thought processOperations cost inakuwa juu huku biashara bado n ndogo
Sorry ni farijibu anakusaka kwa udi na uvumba ili asimamie biashara. Kumbe ashanusa fursa ndio maanaFarajali anakutafta
Watu wanajiongezaSorry ni farijibu anakusaka kwa udi na uvumba ili asimamie biashara. Kumbe ashanusa fursa ndio maana
Yupo wpFarajali anakutafta