Life!

Life!

Unapouliza kama kuna maisha baada ya "kifo",unatakiwa ueleze ni kifo gani unakizungumzia ili uweze kujibiwa!

Kwani kuna vifo vya aina ngapi hapa duniani? Labda tuanzie hapo
 
I tend to think that, the meaning lies on the basis of the answer, i.e Scientific, Philosophical or Theological...But Theologically we were created to adore, serve and worship GOD, who created us!

Why are we here?..We have to pass throuhh the experience (not that it will matter in the next/after life)..but, through it, teaching and guiding others.
 
Kwanza kabla sijakueleza kuna vifo vya aina ngapi,hebu niambie wewe ulizungumzia kifo gani?

Mi nimezungumzia kifo cha kimwili mkuu; Kifo ambacho kinafanya viungo vya mwili visiweze kufanya kazi tena.
 
Mi nimezungumzia kifo cha kimwili mkuu; Kifo ambacho kinafanya viungo vya mwili visiweze kufanya kazi tena.

Jibu lako hili linaonesha kuna kilicho ndani ya mwili kisichokufa,sasa nakuuliza,kwanini unaamini hivi?
 
Jibu lako hili linaonesha kuna kilicho ndani ya mwili kisichokufa,sasa nakuuliza,kwanini unaamini hivi?

Yeah ni kweli mkuu. Naamini Roho haifi bali hutoka na kuhang out some where I don't know
 
Back
Top Bottom