Lift na magari ya wizi.kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Lift na magari ya wizi.kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Daah

Chaja bana. Hii sredi bana humu ndo inafiti sana wandugu, tena hii ni FAIVU STAA sredi. Naomba sana wakuu wote waliowakilisha festi sredi muwepo

CPU utanipa lift kwenye lile gari lako la taka?? Au starlet parking no matatizo
 
jaman sina wa kunipa lift naombeni hata ya mkokoteni nijue inakuwaje hapo
 
kuna kipindi ukiwa umepak gari lako nyumbani na mara ukapata kisafari cha gafla kufika benk mara moja.....ile unataka kuliwasha linagoma....na kuanza kulalamika kua halina maji ya kutosha ukitaka kuongeza maji linagoma....hapo hapo hasira zinakukaba unapiga teke tairi lake na unalipaki hapo nyumbani..... ukiwa umekaa mbele ya nyumba yako mara unaona vistalet vinapita..... unaamua kusimamisha moja na kuomba lift.....wakati mwingine nikwambe mh charger yale magari ya nyumbani huwa baada ya kuona yanapakiwa ndani ya geti kuba huwa yanakuwana na kiburi sana.....sasa hivi vi stalet au vibajaj hivi kaka huwa haina kelele sana...tatizo la hivi ni moja kikipata pancha barabaran...kila mtu ataona kuwa umeharibikwa na wengi watashangaa kwa nini una kibajaj wakti home umepak hummer lako......

halafu kingine ni kwamba hivi vi bajaji na vitz huwa ni stress remover!!!
 
Edson heshima kwako mkuu!:lol::lol:
kuna kipindi ukiwa umepak gari lako nyumbani na mara ukapata kisafari cha gafla kufika benk mara moja.....ile unataka kuliwasha linagoma....na kuanza kulalamika kua halina maji ya kutosha ukitaka kuongeza maji linagoma....hapo hapo hasira zinakukaba unapiga teke tairi lake na unalipaki hapo nyumbani..... ukiwa umekaa mbele ya nyumba yako mara unaona vistalet vinapita..... unaamua kusimamisha moja na kuomba lift.....wakati mwingine nikwambe mh charger yale magari ya nyumbani huwa baada ya kuona yanapakiwa ndani ya geti kuba huwa yanakuwana na kiburi sana.....sasa hivi vi stalet au vibajaj hivi kaka huwa haina kelele sana...tatizo la hivi ni moja kikipata pancha barabaran...kila mtu ataona kuwa umeharibikwa na wengi watashangaa kwa nini una kibajaj wakti home umepak hummer lako......

halafu kingine ni kwamba hivi vi bajaji na vitz huwa ni stress remover!!!
 
Genekai nimekusoma mkuu tupe mambo sasa!
Ila mkuu threads zako ni balaa nimezikubali, unajua hata ile ya jana na hii nilitaka kukueleza kuwa umekosea forum kumbe ndo kwenyewe. mkuu unatisha wala sitajibu thread zaidi ya kukueleza kuwa nazipenda threads zako ambazo zinaonesha kuwa mtoa mada ni mtu wa kufikiria na mwenye busara sana. Haikosi utakuwa mtu mzima au mwenye umri wa kati! Thanx!
 
Papa upo? huu utaalam unaupata wapi papaaa?:lol::lol:
Gaga naona wewe sio mwizi au pengine tuseme huna uzoefu na wezi "hujaibwa"....kwanza kuna gharama za mipango na mikakati ya maandalizi...., kuna gharama za mafuta kwani safari wakati mwengine inabidi iwe ndefu kuficha hilo gari, halafu kunagharama za kupaki gari (sehemu zengine zinalipwa kwa masaa...na haijalishi kama ni kistarlet au hammer!!!).....naomba Ni-PM kama unahitaji kujua zaidi...pengine naweza hata kuorganise ka-practical kadogo..weekend moja hivi ...LOL
 
CPU upo mkuu?last time nilikuwa najiuliza sana hivi hawa CPU,MUHOSNI,KLOROKWINI,LIZZY na KIBWEKA hawana magari mbona saa za safari wao ndio kwanza wanarandaranda vituoni?au ni wapiga debe au wezi wa mifukoni au wezi wa simu au wamepungukiwa nauli au wamepoteza tiketi?:lol::lol::lol: ha ha haaaaa watu tunao jamvini11
Daah

Chaja bana. Hii sredi bana humu ndo inafiti sana wandugu, tena hii ni FAIVU STAA sredi. Naomba sana wakuu wote waliowakilisha festi sredi muwepo
 
hahahaha..mkuu mada zako kweli ni kwa wakubwa tuu..maana watoto kamwe hawatokaa wakuelewe..back to topic mkuu. Haya magari mkuu isishangae kwann mtu anaacha Vogue lako nyumban anapamba bajaji..kuna ladha yake..huenda kuna kitu amekikosa kwenye vogue na pia vogue kuna sehemu halipiti lakin bajaji au gari ya mkaa inapitishwa kwa spidi 180 na haisikii makorongo. sio kama ni gharama kuimiliki vougue hapana ni kwamba tuu kuna mtu mtumiaji wa hiyo gari ya mkaa amevutiwa nacho labda. fikiria mtu anakutwa kwenye gari ya magogo halaf huyo huyo ana Porsche imepaki nyumbani, mim mtazamo wangu kama unamiliki murrano basi jitahidi labda uombe lift kwenye Rolls Royse na sio starlet

Habari wana jamvi ninaamini wote hamjambo na mnaendele kuyafurahia maisha kama vile mlivyo pangiwa na wajanja wachache.
Nashukuru kwa mada iliyopita kuhusu magari maana tulipata michango mingi kutoka kwa madereva na wasafiri.Majibu yalipatikana na wanajamvi walifaidika hata wapita njia pia.Na wengine siku hiyo hiyo walienda field na wenye course work mbaya waliendelea kujinoa zaidi.
Suala ninalolileta leo ni kuhusu hayohayo magari ila leo ni kuhusu magari ya wizi na lift.Nimegundua kuwa wapo watu wengi wanamiliki magari ya thamani sana,nikisema thamani namaanisha muda waliyotumia kuyapata hayo magari au hata fedha walizotumia.Wapo watu kwenye maegesho yao ya nyumbani utakuta wengine wana Benz M-class,Murrano,Toyota fortuner,BMW,Hammer,Cardillac na mengine mengi unayoyafahamu kuwa ni mazuri situ kwa mwonekano hata kwa tabia pia.
Maajabu yanaanzia hapa,unamkuta baba mzima na tai yake kapanda Bedford la mkaa au gari la kubebea ng’ombe tena kawekwa nyuma,au yupo kwenye van ya kubebea mikate au mama mrembo kabisa katulia kwenye gari la taka kavunja kishoka au baba yupo kwenye ki starlet cha wizi na analazimika kupita vinjia vya ochochoroni.
Kibaya zaidi hawa watu wanakuwa mstari wa mbele hayo magari yao kikwama au yakizima wanakuwa kushuka na kuyasukuma au kuyanunulia spea wakati gari zao hawazijali hivyo.Unaweza kukuta benz lake linatembelea tairi kipara wala hajali.
SWALI:JE HAYA MAGARI YA WIZI NA LIFT HAWA WATU HUWA WANAFURAHIA NINI HUKO NA HALI WANAYO YAO MAZURI WAMEYAACHA?
Nawasilisha kwa yeyote atakaye husika
 
Ha ha haaaa sasa vince unataka kusema kuwa hao wamiliki kutokana na tabia zao za kuendesha vibaya na kupita kwenye makorongo wanazionea huruma gari zao za home?
hahahaha..mkuu mada zako kweli ni kwa wakubwa tuu..maana watoto kamwe hawatokaa wakuelewe..back to topic mkuu. Haya magari mkuu isishangae kwann mtu anaacha Vogue lako nyumban anapamba bajaji..kuna ladha yake..huenda kuna kitu amekikosa kwenye vogue na pia vogue kuna sehemu halipiti lakin bajaji au gari ya mkaa inapitishwa kwa spidi 180 na haisikii makorongo. sio kama ni gharama kuimiliki vougue hapana ni kwamba tuu kuna mtu mtumiaji wa hiyo gari ya mkaa amevutiwa nacho labda. fikiria mtu anakutwa kwenye gari ya magogo halaf huyo huyo ana Porsche imepaki nyumbani, mim mtazamo wangu kama unamiliki murrano basi jitahidi labda uombe lift kwenye Rolls Royse na sio starlet
 
Gari la wizi halilipiwi ushuru charger, Pia Vistarlet rahisi kupaki mjini siku hzi parking shida sana

haa aha aaaaaaaaa!!!! Gaga umeniacha hoi, ni kweli la wizi halilipiwi ushuru lakini gharama yake kubwa, na parking za magari ya wizi bei yake iko juu kutokana na kuyaficha.
 
Back
Top Bottom