Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinikumbushee siku ya kwanza napanda lift nililia kwa sauti, hadi niliyekua nae aliona aibu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa Mdogo wangu
Tutaanzia zile Opposite na kwenu...PSSSF commercial Complex...Tena bado mpya mpya zile...
Halafu twende na pengine tena[emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinikumbushee siku ya kwanza napanda lift nililia kwa sauti, hadi niliyekua nae aliona aibu.
Nilihisi hali ya ajabu, joto maradufu, kizunguzungu, tunapanda juu, mie naona tunateremkaaaa tena bila break [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nisipige yowee afu LA nguvuu, kila nikikumbuka najichekaaa sanaaa. Ushambaa huu mweeeh.
Mmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhππsitii nenoTz ni nchi hovyo Sana! Kuna mwaka fulani walikata tiketi za ndege kuzidi siti, watz wakasema tunasimama! Mpk waliposhushwa kwa nguvu!
Aaaah zenye lift hadi kule juu ukute gorofa ya 13 etc, wee kuwezaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukapigwa na butwaa
root course ndo yupi kwenye habari humo mkuu wanguYesu....π
I'm sure root course itakua poor maintenance
Na wengine watakuwa wamejukonolea kabisaAaHapo sipati picha walivyokuwa wakimuita Mungu au Mama zao maana kutoka 10 hadi mwisho wa lift sio kazi ya kitoto
Kumbe wote walikua wa dini moja!Sema yale madude yanaogopesha sana, nikipanda huwa sina amani nawaza kamba ikikatika na hapo unaenda upo 11th floor itakuwaje? π ila kutoka 10th floor mpaka ground hao watu wamepona? Aise wakatoe sadaka kanisani
Bajaji inabeba watu 7!!Wabongo ni watu wa ku exceed limit,
Kijijini kwetu, Trip moja ya Toyota Noah peke yake ina uwezo wa kui level shabby.
Kauli mbiu yetu ni chombo ya Mzungu haijai...
Ole wako uniite muongo.
Hapo sipati picha walivyokuwa wakimuita Mungu au Mama zao maana kutoka 10 hadi mwisho wa lift sio kazi ya kitoto
wanasema the best way ya kusurvive elevator falling ni kulalia mgongo tu, hata kama itafall kutoka floor ya 50 una chance kubwa ya kusurvive with minor damages.Hapo sipati picha walivyokuwa wakimuita Mungu au Mama zao maana kutoka 10 hadi mwisho wa lift sio kazi ya kitoto
Inatisha. Ushawahi kuota unaanguka ghorofani au sehemu ya juu. Au ushawahi kupanda tu lifti halafu iwe inashuka vile taratibu.Hapo sipati picha walivyokuwa wakimuita Mungu au Mama zao maana kutoka 10 hadi mwisho wa lift sio kazi ya kitoto