Ligi Daraja la Kwanza 2014/15, updates hapa

Toto Afrika kacheza game 7. Kashnda 5 kafungwa 2 ana point 15.. Nyumbani kacheza game 4 kashnda zote, ugenini kacheza 3 kafungwa 2 na kushnda 1.. Lazma kieleweke mwaka huu. Hapa shija mkina kule emanuel swita pale mbogo
 
Toto Afrika kacheza game 7. Kashnda 5 kafungwa 2 ana point 15.. Nyumbani kacheza game 4 kashnda zote, ugenini kacheza 3 kafungwa 2 na kushnda 1.. Lazma kieleweke mwaka huu. Hapa shija mkina kule emanuel swita pale mbogo

chama hili nalikubali sana...
 
Kimondo inaongoza mabao 2 kwa 0 dhidi ya African Sport ya Tanga dakika ya 76 mpaka sasa
 
msimamo wa ligi mbona haubadiliki.... mwezi huu uzi fanya update aisee........... lipuli, majimaji,kurugenzi na kimondo zote zilishinda mchezo wa jana
 
msimamo wa ligi mbona haubadiliki.... mwezi huu uzi fanya update aisee........... lipuli, majimaji,kurugenzi na kimondo zote zilishinda mchezo wa jana

Sawa mkuu, nadhani amekusikia...
 
Mkuu Mlendamboga, leo ni Majimaji na African Sports... Sijui watatoka wanaKimanumanu?
 
Last edited by a moderator:
Maziku Masunga Jr.

Ushabikiwa asili ni upuuzi fulani ivi ambao tumekwama kujitoa nao huku ukituangusha na kuwanufaisha wachache katika mfumo wa soka. Nakuunga mkono katika kupenda mabadiliko, hakika tunahitaji ligi mtambuka na yenye ushindani.
Taitizo langu ni pale timu zinazoibukia zinapokuja na staili ile ile ya watangulizi wao, magumashi...
 
Last edited by a moderator:
Maziku Masunga Jr.

Soka ni kama siasa, mmoja kuwatumia wengine na taasisi kwa manufaa binafsi. Fikiria mashabiki wa Simba na Yanga, hadi leo hawajajua kuwa watu waliopo wanawatumia kwa manufaa yao, wao wameendelea kwenda viwanjani na kuwachangia hela watu ambao wapo kwenye timu ili kujinufaisha kiuchumi na kutimiza ajenda zao za kisiasa.
Kuna badiliko kubwa sana linahitajika hapa mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…