Ligi Daraja la Kwanza 2014/15, updates hapa

Ligi Daraja la Kwanza 2014/15, updates hapa

Uwanja wa Ccm Vwawa Ni mapumziko Kimondo 0 Kurugenzi Mufindi 0, Kurugenzi wanacheza kujihami wanasaka droo, naona kujiangusha kwingi na kupoteza muda
 
Mwakan nasikia zinapanda timu nne na timu mbili znashuka daraja
 
Kimondo fc timu bora toka mbeya
 

Attachments

  • 1415872235143.jpg
    1415872235143.jpg
    115.8 KB · Views: 68
Kutoka Uwanja wa Karume, Friends Rangers vs Majimaji... Saa 10 Jioni!
 
Wachezaji wa Friends Rangers wakipasha misuli kabla ya pambano lao na Majimaji

1920583_455351681270792_8102451277646349930_n.jpg

cc: joriki
 
Last edited by a moderator:
Kikosi cha Friend Rangers kinachoanza pambano la leo

10407873_455353794603914_193774390713761603_n.jpg
cc: mkolaj
 
Last edited by a moderator:
Dk 45 kipindi cha kwanza friends 1-1 majimaji goal la penalt
 
Back
Top Bottom