Ligi Daraja la Kwanza 2014/15, updates hapa

Ligi Daraja la Kwanza 2014/15, updates hapa

Woyooo!!

Oddo nombo,mbuna na kudra bado wanakichafua!!

Bring back our maji maji in vpl

Mwisho wa picha mlichapika 2-1, lakini bado mnaongoza ligi. Wewe si ndio ulisema huwa hushabikii soka la Bongo, kipele cha nini sasa?
 
Mwisho wa picha mlichapika 2-1, lakini bado mnaongoza ligi. Wewe si ndio ulisema huwa hushabikii soka la Bongo, kipele cha nini sasa?

ulininukuu vibaya!!

sishabikii taifa starz!!

ila ni Mwana lamba lamba pure kama Kitoabu ndetichia

ila home lazima maji maji!!
 
Last edited by a moderator:
Deo Corleone

Azam tangu lini imeopata washabiki bwana? Wengi ni hawa hawa wakwetu wanafuata fursa za kulipiwa viingilio na kusafirishwa bure...
 
Last edited by a moderator:
Deo Corleone

huku MCC kutakuwa poa muda si mrefu wala usijali,kumbe we ni mzee wa bombambili,lizaboni,makambi,matalawe,mahenge,majengo,ndilima litembo....

Nakapanya ipo tunduru ndio,nililipenda tu hili jina nikaamua kulitumia mkuu,majina ya huku ya vijiji yanafurahisha sana,mara utasikia Nanguruwe,Nangose,Namatutwe,nanjota...so fun
 
Last edited by a moderator:
Azam tangu lini imeopata washabiki bwana? Wengi ni hawa hawa wakwetu wanafuata fursa za kulipiwa viingilio na hii kusafirishwa bure...


Nilipoamua kushabikia mpira wa bongo 2009 nilianza na azam fc!!

Nipo hadi Leo!! Sijawahi kulipiwa hata mia na azam!!

Hata yesu akifufuka leo na kuamua kushabikia mpira wa bongo atashabikia azam fc!!

Hivi akilimali anacheo gani pale jangwani
 
Nilipoamua kushabikia mpira wa bongo 2009 nilianza na azam fc!!

Nipo hadi Leo!! Sijawahi kulipiwa hata mia na azam!!

Hata yesu akifufuka leo na kuamua kushabikia mpira wa bongo atashabikia azam fc!!

Hivi akilimali anacheo gani pale jangwani

Akilimali si mwenyekiti wa Baraza la Wazee, au umesahau?
 
Game ya toto jana nasikia imevunjika dk za mwishoni. Bado sijathibitisha habari hizi
 
Back
Top Bottom