Ligi ianze, naona jirani yangu shabiki wa Simba ameanza kunenepa

Ligi ianze, naona jirani yangu shabiki wa Simba ameanza kunenepa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Ligi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22]
Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha

I don't want peace...... Ligi ianze Makolo wapoteane[emoji23][emoji23]
1719549091979.jpg
 
Ligi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22]
Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha
Nimeona Injinia amesema malengo ya utopolo msimu huu ni kufika makundi 😁
Injinia bhana, anajua kuwapanga watopolo 🤣🤣🤣
 
Ligi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22]
Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha

I don't want peace...... Ligi ianze Makolo wapoteane[emoji23][emoji23]View attachment 3042845
Mnatamani sana tufanane. Utopolo lini mtaweka chura kwenye nembo yenu?
 
Sidhani kama ni hili la simba, wewe kiuhalisia ni MCHAWI, na ndio tabia yako hupendi maendeleo ama chochote kizuri kifanywe na jirani zako, huna kazi tukusaidie ajira ? Si kwa uchawi huu.

mama ako bora angekutupa tu chooni.
 
Back
Top Bottom