Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini una misumari ya Moto kiasi hiko ?Daaah unanionea mkuu.... wrong accusations
Sasa kwa nini target isibaki mlipoishia au hata kuongezeka kidogo? Ndio maana nasema Injinia anatupanga, yaani hataki lawama š¤£š¤£š¤£Yaaah mkuu....si uliona mwaka Jana tuli target kuishia makundi....but robo fainali walifika
Hapana mkuu....but huwa Napenda watu wanachangamka kupitia stressSidhani kama ni hili la simba, wewe kiuhalisia ni MCHAWI, na ndio tabia yako hupendi maendeleo ama chochote kizuri kifanywe na jirani zako, huna kazi tukusaidie ajira ? Si kwa uchawi huu.
mama ako bora angekutupa tu chooni.
Hatuna utani na nyie mkuušššKwa kucheza soka safi.....but Kwa utani wa jadi ....bado Simba ndo mtani wetu
Haka ni ka chawa ka GSM..ila kanaipenda Simba bila kujua...mhhh ukute ni li baba mi nasema haka... Labani og hivi ww ni mubaba au mukaka..Sidhani kama ni hili la simba, wewe kiuhalisia ni MCHAWI, na ndio tabia yako hupendi maendeleo ama chochote kizuri kifanywe na jirani zako, huna kazi tukusaidie ajira ? Si kwa uchawi huu.
mama ako bora angekutupa tu chooni.
Sasa unacheka nnInasemekana ana miaka 22[emoji23][emoji32]
Punguza kawivu mwanawane basi wanenepe kidogo kabla ya dumu lao kiwekewa maji waone yanavovuja kama pakachaYaaah mkuu ....now kakitambi kameanza