Nimeona Injinia amesema malengo ya utopolo msimu huu ni kufika makundi πLigi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22]
Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha
Mnatamani sana tufanane. Utopolo lini mtaweka chura kwenye nembo yenu?Ligi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22]
Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha
I don't want peace...... Ligi ianze Makolo wapoteane[emoji23][emoji23]View attachment 3042845
Lkn utakuta wanatoboa Hadi fainali......Nimeona Injinia amesema malengo ya utopolo msimu huu ni kufika makundi [emoji16]
Injinia bhana, anajua kuwapanga watopolo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kama walivyotoboa mwaka jana πππLkn utakuta wanatoboa Hadi fainali......
NdioHivi ni ya kweli hii???
Final ya Mpumalanga Cup? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lkn utakuta wanatoboa Hadi fainali......
Mind u that ....hii sio looser cup [emoji23]