Bila shaka ni VPL.
Kwanini nasema VPL. Nimejaribu kupima mafanikio madogo ambayo vilabu kwenye hizi ligi zimefikia.
1. Vpl imeto vilabu vinavyoshiri na kufikambali mara nyingi kwenye michuani ya bara cafcl na cafcc.
2. Watazamajina wafuatiliaji. VPL inataamwa na kufuatiliwa na watu wengi zaidi kuliko ligi nyinginezo, zingatia wastani wa match attendance
3. Mishahara ya wachezaji. VPL inaongoza kulipa pesa ndefu sana wachezaji ukilinganisha vilabu vya ligi mbalimbali za afrika mashariki. (azam,yanga,simba,singida utd.............mtibwa,kagera,mbeya city)
4. VPL ina udhamini mnono kuliko ligi yeyote hapa mashariki.