Ligi Kuu Bara haiwezi kuwa na udhamini wa benki 2 kwa wakati mmoja, huu ni uchambuzi wa NBC na DTB kama itapanda daraja

Ligi Kuu Bara haiwezi kuwa na udhamini wa benki 2 kwa wakati mmoja, huu ni uchambuzi wa NBC na DTB kama itapanda daraja

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Cham.jpg
Ligi Kuu ya Tanzania Bara mdhamini wake mkuu ni ni Benki ya NBC ambaye amechukua jina kabisa la ligi hiyo ikiitwa Ligi Kuu ya NBC.

Upande wa pili kuna Championship au Ligi Daraja la Kwanza ambayo huwa inatoa timu zinazopanda daraja kwenda kucheza katika Ligi Kuu.

Swali au hoja ambayo nilikuwa najiuliza timu ya DTB ikipanda daraja itakuwaje?

DTB ni jina la benki, mdhamini wa Ligi Kuu ni benki pia, kwa moto ambao walikuwa wakiuwasha DTB kwenye Championship ilionekana wazi wanapanda daraja bila wasi, kwanza wana kikosi kizuri na walikuwa wanaonyesha uwezo mkubwa.

Baada ya kufuatilia kwa vyanzo kadhaa nikapata majibu mawili yanayokinzana.

Jibu la 1#: DTB HAWAWEZI KUPANDA DARAJA
Naikumbuka kauli hii niliambiwa mwanzoni kabisa wakati Championship ikiwa hata haijafika nusu ya mzunguko, nikauliza kwa nini wakati moto wao ni mkali?

Nikajibiwa ‘Soka la Tanzania lina wenyewe, hao hata wacheze vipi hawawezi kupanda daraja, wakipanda wataenda kuvuruga mambo, hatuwezi kuwa na mgongano wa kimaslahi, Ligi ni ya NBC kisha timu inadhaminiwa na DTB, hivyo kutakuwa na ushindani wa kibishara na hiyo haitamfurahisha mdhamini mkubwa ambaye ni NBC.

Inamaanisha NBC watakuwa wanatoa dau kubwa la fedha kisha DTB wanaingilia nao wanatangaza kwa dau dogo japo wao ni timu moja, pili jezi ya DTB itakuwa na matangazo mawili ya biashara zinazoshindana.

Kwa jibu hilo naona kama inaanza kuelekea, kwani DTB walikuwa wanaongoza kwa tofauti ya idadi kubwa ya pointi, lakini leo zimebaki mechi tano na wanaongoza kwa zaidi ya pointi 3 tu, hiyo ni dalili mbaya.

Jibu la #2: DTB WATAPANDA, KIGOGO WAO ATAIBADILISHA JINA
Hili jibu nilipewa na mtu mwingine wa karibu na viongozi wa soka kuwa DTB inamilikiwa na kigogo mmoja ambaye ni mwanasiasa.

Huyu aliwahi kumiliki timu flani baadaye ikageuka kuwa tawi la timu moja kubwa kutoka pale Kariakoo, mwisho ikapotea na yeye akaisusa.

Hivyo, kitendo cha kutumia jina la DTB ilikuwa ni geresha tu lakini itapanda daraja, itabadilisha jina maisha yataendelea, hakutakuwa na ushindani tena wa NBC na DTB.

Jibu sahihi ni lipi? TUSUBIRI MUDA UTAZUNGUMZA
 
singida utd hiyo ilibadilishwa jina tu ingawa wale wamepotea sijui wako daraja la 3 ila bus la dtb ni lilelile la singida utd , hiyo hata ikipanda daraja ni utopolo B
 
Hovyo kabisa. DTB ni mmiliki wa timu na NBC ni mdhamini wa ligi. Hiyo kanuni inakataza taasisi ya mtu mmoja au zenye mahusiano kumiliki timu moja kwa hofu ya kupanga matokeo.

Onyesha mahusiano kati ya NBC na DTB,hizi ni taasisi mbili tofauti kwenye industry ya finance kama ilivyo GSM na MELT

Kivipi DTB na NBC zitaharibu ligi,kwani NBC ni mmiliki au mdhamini wa timu? yule ni mdhamini wa ligi
 
DTB ni jina la Timu.
Ilikuwa ikijulikana kama Mawenzi Market ya Morogoro, ikanunuliwa na Waziri Mwigulu.

Hakuna utata hapo, itashiriki ligi kuu hata mdhamini akiwa NBC
 
Hivi hiyo Kitayosce Fc inatokea Mkoa gani? Naona Ihefu inarudi tena Ligi kuu!

Safari hii wakirudi basi hawana budi kujiongeza kama wenzao wa Geita Fc kwa kusajili malegendary wengi wapambanaji kwenye timu.
 
DTB ni jina la Timu.
Ilikuwa ikijulikana kama Mawenzi Market ya Morogoro, ikanunuliwa na Waziri Mwigulu.

Hakuna utata hapo, itashiriki ligi kuu hata mdhamini akiwa NBC
Kumbe ya Mwigulu
 
Ligi Kuu ya Tanzania Bara mdhamini wake mkuu ni ni Benki ya NBC ambaye amechukua jina kabisa la ligi hiyo ikiitwa Ligi Kuu ya NBC.

Upande wa pili kuna Championship au Ligi Daraja la Kwanza ambayo huwa inatoa timu zinazopanda daraja kwenda kucheza katika Ligi Kuu.

Swali au hoja ambayo nilikuwa najiuliza timu ya DTB ikipanda daraja itakuwaje?

DTB ni jina la benki, mdhamini wa Ligi Kuu ni benki pia, kwa moto ambao walikuwa wakiuwasha DTB kwenye Championship ilionekana wazi wanapanda daraja bila wasi, kwanza wana kikosi kizuri na walikuwa wanaonyesha uwezo mkubwa.

Baada ya kufuatilia kwa vyanzo kadhaa nikapata majibu mawili yanayokinzana.

Jibu la 1#: DTB HAWAWEZI KUPANDA DARAJA
Naikumbuka kauli hii niliambiwa mwanzoni kabisa wakati Championship ikiwa hata haijafika nusu ya mzunguko, nikauliza kwa nini wakati moto wao ni mkali?

Nikajibiwa ‘Soka la Tanzania lina wenyewe, hao hata wacheze vipi hawawezi kupanda daraja, wakipanda wataenda kuvuruga mambo, hatuwezi kuwa na mgongano wa kimaslahi, Ligi ni ya NBC kisha timu inadhaminiwa na DTB, hivyo kutakuwa na ushindani wa kibishara na hiyo haitamfurahisha mdhamini mkubwa ambaye ni NBC.

Inamaanisha NBC watakuwa wanatoa dau kubwa la fedha kisha DTB wanaingilia nao wanatangaza kwa dau dogo japo wao ni timu moja, pili jezi ya DTB itakuwa na matangazo mawili ya biashara zinazoshindana.

Kwa jibu hilo naona kama inaanza kuelekea, kwani DTB walikuwa wanaongoza kwa tofauti ya idadi kubwa ya pointi, lakini leo zimebaki mechi tano na wanaongoza kwa zaidi ya pointi 3 tu, hiyo ni dalili mbaya.

Jibu la #2: DTB WATAPANDA, KIGOGO WAO ATAIBADILISHA JINA
Hili jibu nilipewa na mtu mwingine wa karibu na viongozi wa soka kuwa DTB inamilikiwa na kigogo mmoja ambaye ni mwanasiasa.

Huyu aliwahi kumiliki timu flani baadaye ikageuka kuwa tawi la timu moja kubwa kutoka pale Kariakoo, mwisho ikapotea na yeye akaisusa.

Hivyo, kitendo cha kutumia jina la DTB ilikuwa ni geresha tu lakini itapanda daraja, itabadilisha jina maisha yataendelea, hakutakuwa na ushindani tena wa NBC na DTB.

Jibu sahihi ni lipi? TUSUBIRI MUDA UTAZUNGUMZA
Nataka jibu haraka. 1+1=?

Alisikika profesa wa chuo kikuu Dar es Salaam akiwauliza wanafunzi mwaka wa nne injinia.

Maswali mengine ni kichekesho. Kivipi timu yenye jina DTB iwe na mgongano kimaslahi na mdhamini NBC?

Je benk ya DTB inadhamini timu ya DTB? Hapo kama ni ndiyo kuna mgongano, la ni sawa hakuna shida.
 
Barclays premier league ( epl) , Standard chartered ( liverpool) , hiyo ilikuwepo kwa wazungu kwa nini hapa unasema haiwezekani?
 
Ujinga mtupu!!, Jina la timu limekuwa mdhamini?.
 
Ligi Kuu ya Tanzania Bara mdhamini wake mkuu ni ni Benki ya NBC ambaye amechukua jina kabisa la ligi hiyo ikiitwa Ligi Kuu ya NBC.

Upande wa pili kuna Championship au Ligi Daraja la Kwanza ambayo huwa inatoa timu zinazopanda daraja kwenda kucheza katika Ligi Kuu.

Swali au hoja ambayo nilikuwa najiuliza timu ya DTB ikipanda daraja itakuwaje?

DTB ni jina la benki, mdhamini wa Ligi Kuu ni benki pia, kwa moto ambao walikuwa wakiuwasha DTB kwenye Championship ilionekana wazi wanapanda daraja bila wasi, kwanza wana kikosi kizuri na walikuwa wanaonyesha uwezo mkubwa.

Baada ya kufuatilia kwa vyanzo kadhaa nikapata majibu mawili yanayokinzana.

Jibu la 1#: DTB HAWAWEZI KUPANDA DARAJA
Naikumbuka kauli hii niliambiwa mwanzoni kabisa wakati Championship ikiwa hata haijafika nusu ya mzunguko, nikauliza kwa nini wakati moto wao ni mkali?

Nikajibiwa ‘Soka la Tanzania lina wenyewe, hao hata wacheze vipi hawawezi kupanda daraja, wakipanda wataenda kuvuruga mambo, hatuwezi kuwa na mgongano wa kimaslahi, Ligi ni ya NBC kisha timu inadhaminiwa na DTB, hivyo kutakuwa na ushindani wa kibishara na hiyo haitamfurahisha mdhamini mkubwa ambaye ni NBC.

Inamaanisha NBC watakuwa wanatoa dau kubwa la fedha kisha DTB wanaingilia nao wanatangaza kwa dau dogo japo wao ni timu moja, pili jezi ya DTB itakuwa na matangazo mawili ya biashara zinazoshindana.

Kwa jibu hilo naona kama inaanza kuelekea, kwani DTB walikuwa wanaongoza kwa tofauti ya idadi kubwa ya pointi, lakini leo zimebaki mechi tano na wanaongoza kwa zaidi ya pointi 3 tu, hiyo ni dalili mbaya.

Jibu la #2: DTB WATAPANDA, KIGOGO WAO ATAIBADILISHA JINA
Hili jibu nilipewa na mtu mwingine wa karibu na viongozi wa soka kuwa DTB inamilikiwa na kigogo mmoja ambaye ni mwanasiasa.

Huyu aliwahi kumiliki timu flani baadaye ikageuka kuwa tawi la timu moja kubwa kutoka pale Kariakoo, mwisho ikapotea na yeye akaisusa.

Hivyo, kitendo cha kutumia jina la DTB ilikuwa ni geresha tu lakini itapanda daraja, itabadilisha jina maisha yataendelea, hakutakuwa na ushindani tena wa NBC na DTB.

Jibu sahihi ni lipi? TUSUBIRI MUDA UTAZUNGUMZA
Kampongeze aliyekupa jibu No. 2
 
Ligi Kuu ya Tanzania Bara mdhamini wake mkuu ni ni Benki ya NBC ambaye amechukua jina kabisa la ligi hiyo ikiitwa Ligi Kuu ya NBC.

Upande wa pili kuna Championship au Ligi Daraja la Kwanza ambayo huwa inatoa timu zinazopanda daraja kwenda kucheza katika Ligi Kuu.

Swali au hoja ambayo nilikuwa najiuliza timu ya DTB ikipanda daraja itakuwaje?

DTB ni jina la benki, mdhamini wa Ligi Kuu ni benki pia, kwa moto ambao walikuwa wakiuwasha DTB kwenye Championship ilionekana wazi wanapanda daraja bila wasi, kwanza wana kikosi kizuri na walikuwa wanaonyesha uwezo mkubwa.

Baada ya kufuatilia kwa vyanzo kadhaa nikapata majibu mawili yanayokinzana.

Jibu la 1#: DTB HAWAWEZI KUPANDA DARAJA
Naikumbuka kauli hii niliambiwa mwanzoni kabisa wakati Championship ikiwa hata haijafika nusu ya mzunguko, nikauliza kwa nini wakati moto wao ni mkali?

Nikajibiwa ‘Soka la Tanzania lina wenyewe, hao hata wacheze vipi hawawezi kupanda daraja, wakipanda wataenda kuvuruga mambo, hatuwezi kuwa na mgongano wa kimaslahi, Ligi ni ya NBC kisha timu inadhaminiwa na DTB, hivyo kutakuwa na ushindani wa kibishara na hiyo haitamfurahisha mdhamini mkubwa ambaye ni NBC.

Inamaanisha NBC watakuwa wanatoa dau kubwa la fedha kisha DTB wanaingilia nao wanatangaza kwa dau dogo japo wao ni timu moja, pili jezi ya DTB itakuwa na matangazo mawili ya biashara zinazoshindana.

Kwa jibu hilo naona kama inaanza kuelekea, kwani DTB walikuwa wanaongoza kwa tofauti ya idadi kubwa ya pointi, lakini leo zimebaki mechi tano na wanaongoza kwa zaidi ya pointi 3 tu, hiyo ni dalili mbaya.

Jibu la #2: DTB WATAPANDA, KIGOGO WAO ATAIBADILISHA JINA
Hili jibu nilipewa na mtu mwingine wa karibu na viongozi wa soka kuwa DTB inamilikiwa na kigogo mmoja ambaye ni mwanasiasa.

Huyu aliwahi kumiliki timu flani baadaye ikageuka kuwa tawi la timu moja kubwa kutoka pale Kariakoo, mwisho ikapotea na yeye akaisusa.

Hivyo, kitendo cha kutumia jina la DTB ilikuwa ni geresha tu lakini itapanda daraja, itabadilisha jina maisha yataendelea, hakutakuwa na ushindani tena wa NBC na DTB.

Jibu sahihi ni lipi? TUSUBIRI MUDA UTAZUNGUMZA
Naaam uliona mbali sana, leo wamebadili jina
 
Back
Top Bottom