Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kikosi cha Young Africans kitakachoanza dhidi ya Singida United katika mechi ya Ligi Kuu Bara
Youthe Rostand, Hassan Kessy, Haji Mwinyi, Abdallah Shaibu, Kelvin Yondani , Papy Tshishimbi, Yusuph Mhilu, Raphael Daudi, Obrey Chirwa, Pius Buswita, Ibrahim Ajibu
Kikosi cha akiba
Ramadhani Kabwili, Juma Abdul, Nadir Haroub, Said Makapu, Geofrey Mwashiuya, Emmanuel Martin, Juma Mahadhi
Kikosi cha Singida United dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara leo
Ally Mustapha, Miraj Adam, Shafik Batambuze, Malik Antiri, Kennedy Juma, Mudathir Yahaya, Deus Kaseke, Nizar Khalifan, Papy Kambale, Kenny Ally, Kiggy Makasi
Kikosi cha akiba
Peter Manyika, Salum Chuku, Yusuph Kagoma, Rolland Msonjo, Elinywesia Sumbi, Lubinda Mundia, Danny Usengimana
Mchezo unatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa.
Mchezo umeanza
01': Yanga wanamiliki mpira, wanpiga pasi lakini Singida nao wapo makini.
02': GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
04': Yanga ni kama bado hawajajipanga.
Krosi ya Kigi Makasi inatua mguuni kwa Saliti Kambale anamalizia wavuni
06': Singida wanapata mpira wa kurushwa pembeni ya uwanja.
09': Mpira umeganda kwenye lango la Yanga lakini walinzi wanakuwa makini kuzuia
10': Yusuph Mhilu anapiga shuti linamgonga beki na kuwa kona langoni mwa Singida.
12': Kipa wa Singida , Ally Mustapha 'Barthez' yupo chini ameumia wakati wa kurukia mpira.
14': Mchezo unaendelea.
15': Yanga wanafanya mashambulizi mawiali makali, wanapata kona mbili mfululizo.
16': Yanga wanafanya shambulizi kali, inakuwa kona.
20': Biswita anacheza faulo. Inapigwa kueleka kwa Yanga
23': Tshishimbi anapiga shuti linatola nje kidogo ya lango la Singida.
24': Chirwa anashindwa kutumia vizuri pasi aliyopewa na Ibrahim Ajibu.
29': Yanga wanahitaji kuwa makini, Singida wanapata nafasi ya kupiga shuti la wazi lakini mpira unapaa.
34': Raphael Daudi anacheza vibaya inakuwa faulo kuelekea kwa Yanga
SUB, 36': Yanga wanamtoa kipa mkongwe Ally Mustapha 'Barthez' na nafasi yake inachukuliwa na Peter Manyika
38': Daud anaachia mkwaju mkali kabisa hapa, ilikuwa ni hatari na jaribio la kwanza Manyika akiwa langoni
40': kinda Mhilu yuko chini pale, inaonekana aliumizwa
42': Kambale anajaribu kuingia kwa kasi, lakini Yondani anazuia vizuri kabisa hapa
SUB, 43': Salum Chukwu, anaingia kuchukua nafasi ya Batambuze raia wa Uganda
44': Chukwu anawahadaa mabeki wa Yanga, anaingai ndani ya boksi, lakini Yondani yuko makini tena
45': Manyika anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kichwa, unamgonga beki Juma na kuwa kona
GOOOOOOOOO Dk 45, Shaibu au Ninja anaruka kuunganisha kona ya ya Ajibu na kuiandikia Yanga bao safi kwa mpira huo wa kichwa
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
Mpira safi wa adhabu wa Ajibu, Buswita anaishaaa juuuu...ilikuwa hatari ndani ya lango la Singida
MAPUMZIKO
45': Yanga wanaanza kwa kasi wakionyesha wamepania kusawazisha
47': Singida wanaingia vizuri lakini Makasi anashindwa kupiga krosi na kuanguka
48': Kambale anataka kumpita Yondani lakini anamdhibiti vizuri kabisa
50': Yanga wanaendelea kusukuma mashambulizi ya kushitikkiza, lakini Singida wanaokoa na kuwa kona
Krosi safi ya Kessy lakini Juma anaokoa kwa kichwa
53': Kaseke anageuka na kumtoka Mwinyi, anaingia lakini anaonyesha papara hapa na kupiga shuti hoooovyo
55': kwa sasa mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja ingawa Singida United kama wanapoteza muda hivi
57': Mhilu anaingia vizuri lakini uzoefu unamfanya kutokuwa na maamuzi sahihi
59': Manyika analazimika kufanya kazi ya ziada na kuondosha mpira mbele ya Chirwa aliyekuwa amepitishiwa kimo cha nyoka
61': kwa takribani dakika moja nzima, Singida wamekuwa wakimiliki mpira wao, Nizar Khalfan na Mudathir wakifanya wanavyotaka wao katikati ya uwanja
Mpira wa adhabu wa Chukwu, Mwinyi anaruka na kuokoa, konaa
62': Chukwu anachunga kona, inatua kwa Kaseke, anamuachia Mudathir anayepiga mkwaju mkali wa chinichini, goal kick
63': Ajibu anajaribu kuchambua, anaachia mkwaju mkali kabisa, goal kick
64': Chirwa anaingia vizuri hapaaa, chini. Mwamuzi anamuambia simama ucheze mpira...Kennedy Juma alimgusa kwa mkono pia mguu akaanguka
66': Mhilu anachambua watu watatu, anampa Chirwa anamchambua beki mmoja, lakini hakuwa shap katika kuupiga mpira
67': Mwinyi anaingia vizuri lakini krosi yake inatua mikononi mwa Manyika
68': Ndani ya 18, Chirwa anageuka na kuachia mkwaju mkali kweli, Manyika anapangua na kuwa kona
SUB 68': Kagoma anaingia kuchukua nafasi ya mkongwe Nizar Khalfan
69': kona ya Ajibu, Manyika anaruka juu kabisa na kudaka kwa ustadi
71': Kaseke anagongeana vizurik na Miraj Adam, anajaribu ilikuwa ni hatari lakini goal kick
73': Chukwu analazimika kulala na kuutoa nje mpira wa Mhilu, kona
SUB 73': Juma Madhadhi anaingia kuchukua nafasi ya Buswita
Mkwaju safi wa kona wa Ajibu, Manyika anaokoa na anagongwa, mwamuzi anasema ni faulo
KADI 77': kadi ya kwanza katika mchezo wa leo inatoka na inakwenda kwa KAseke ambaye ameushika mpira kwa makusudi kabisa
SUB 78': Ajibu anakwenda nje na nafasi yake inachukuliwa na Goefrey Mwashiuya
KADI 79': Kadi ya pili ya njano inatoka, nayo ni kwa Singida United, anazawadiwa Chukwu
80': Krosi matata ya Kiggi, lakini Kambale anafanya madhambi kwa kumuangusha Ninja
83': Zaidi mpira unachezwa katika ya uwanja na hakuna mashambulizi mengi makali
84': Bado hakuna mipango kwa Singida United, tofauti na Yanga. Singida wanapaswa kuwa makini au watafungwa
Mhilu tena, anaingia vizuri kabisa na kutoa pasi nzuri ya Chirwa, ndani ya miguu 12 anapiga shuti kuuuubwaaaa
KADI, 86': Kessy anapewa kadi njano kwa kumuangusha Chukwu
88': Kaseke anaingia mpira wake unaokolewa na kuwa kona
89': Yanga wanamuingiza Martin kuchukua nafasi ya Chirwa
90': Kiggi anakwenda kuchonga hiyo kona, Kambale anaruka peke yake na kupuga kichwa, goal kick
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
Youthe Rostand, Hassan Kessy, Haji Mwinyi, Abdallah Shaibu, Kelvin Yondani , Papy Tshishimbi, Yusuph Mhilu, Raphael Daudi, Obrey Chirwa, Pius Buswita, Ibrahim Ajibu
Kikosi cha akiba
Ramadhani Kabwili, Juma Abdul, Nadir Haroub, Said Makapu, Geofrey Mwashiuya, Emmanuel Martin, Juma Mahadhi
Ally Mustapha, Miraj Adam, Shafik Batambuze, Malik Antiri, Kennedy Juma, Mudathir Yahaya, Deus Kaseke, Nizar Khalifan, Papy Kambale, Kenny Ally, Kiggy Makasi
Kikosi cha akiba
Peter Manyika, Salum Chuku, Yusuph Kagoma, Rolland Msonjo, Elinywesia Sumbi, Lubinda Mundia, Danny Usengimana
Mchezo unatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa.
Mchezo umeanza
01': Yanga wanamiliki mpira, wanpiga pasi lakini Singida nao wapo makini.
02': GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
04': Yanga ni kama bado hawajajipanga.
Krosi ya Kigi Makasi inatua mguuni kwa Saliti Kambale anamalizia wavuni
06': Singida wanapata mpira wa kurushwa pembeni ya uwanja.
09': Mpira umeganda kwenye lango la Yanga lakini walinzi wanakuwa makini kuzuia
10': Yusuph Mhilu anapiga shuti linamgonga beki na kuwa kona langoni mwa Singida.
12': Kipa wa Singida , Ally Mustapha 'Barthez' yupo chini ameumia wakati wa kurukia mpira.
14': Mchezo unaendelea.
15': Yanga wanafanya mashambulizi mawiali makali, wanapata kona mbili mfululizo.
16': Yanga wanafanya shambulizi kali, inakuwa kona.
20': Biswita anacheza faulo. Inapigwa kueleka kwa Yanga
23': Tshishimbi anapiga shuti linatola nje kidogo ya lango la Singida.
24': Chirwa anashindwa kutumia vizuri pasi aliyopewa na Ibrahim Ajibu.
29': Yanga wanahitaji kuwa makini, Singida wanapata nafasi ya kupiga shuti la wazi lakini mpira unapaa.
34': Raphael Daudi anacheza vibaya inakuwa faulo kuelekea kwa Yanga
SUB, 36': Yanga wanamtoa kipa mkongwe Ally Mustapha 'Barthez' na nafasi yake inachukuliwa na Peter Manyika
38': Daud anaachia mkwaju mkali kabisa hapa, ilikuwa ni hatari na jaribio la kwanza Manyika akiwa langoni
40': kinda Mhilu yuko chini pale, inaonekana aliumizwa
42': Kambale anajaribu kuingia kwa kasi, lakini Yondani anazuia vizuri kabisa hapa
SUB, 43': Salum Chukwu, anaingia kuchukua nafasi ya Batambuze raia wa Uganda
44': Chukwu anawahadaa mabeki wa Yanga, anaingai ndani ya boksi, lakini Yondani yuko makini tena
45': Manyika anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kichwa, unamgonga beki Juma na kuwa kona
GOOOOOOOOO Dk 45, Shaibu au Ninja anaruka kuunganisha kona ya ya Ajibu na kuiandikia Yanga bao safi kwa mpira huo wa kichwa
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
Mpira safi wa adhabu wa Ajibu, Buswita anaishaaa juuuu...ilikuwa hatari ndani ya lango la Singida
MAPUMZIKO
45': Yanga wanaanza kwa kasi wakionyesha wamepania kusawazisha
47': Singida wanaingia vizuri lakini Makasi anashindwa kupiga krosi na kuanguka
48': Kambale anataka kumpita Yondani lakini anamdhibiti vizuri kabisa
50': Yanga wanaendelea kusukuma mashambulizi ya kushitikkiza, lakini Singida wanaokoa na kuwa kona
Krosi safi ya Kessy lakini Juma anaokoa kwa kichwa
53': Kaseke anageuka na kumtoka Mwinyi, anaingia lakini anaonyesha papara hapa na kupiga shuti hoooovyo
55': kwa sasa mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja ingawa Singida United kama wanapoteza muda hivi
57': Mhilu anaingia vizuri lakini uzoefu unamfanya kutokuwa na maamuzi sahihi
59': Manyika analazimika kufanya kazi ya ziada na kuondosha mpira mbele ya Chirwa aliyekuwa amepitishiwa kimo cha nyoka
61': kwa takribani dakika moja nzima, Singida wamekuwa wakimiliki mpira wao, Nizar Khalfan na Mudathir wakifanya wanavyotaka wao katikati ya uwanja
Mpira wa adhabu wa Chukwu, Mwinyi anaruka na kuokoa, konaa
62': Chukwu anachunga kona, inatua kwa Kaseke, anamuachia Mudathir anayepiga mkwaju mkali wa chinichini, goal kick
63': Ajibu anajaribu kuchambua, anaachia mkwaju mkali kabisa, goal kick
64': Chirwa anaingia vizuri hapaaa, chini. Mwamuzi anamuambia simama ucheze mpira...Kennedy Juma alimgusa kwa mkono pia mguu akaanguka
66': Mhilu anachambua watu watatu, anampa Chirwa anamchambua beki mmoja, lakini hakuwa shap katika kuupiga mpira
67': Mwinyi anaingia vizuri lakini krosi yake inatua mikononi mwa Manyika
68': Ndani ya 18, Chirwa anageuka na kuachia mkwaju mkali kweli, Manyika anapangua na kuwa kona
SUB 68': Kagoma anaingia kuchukua nafasi ya mkongwe Nizar Khalfan
69': kona ya Ajibu, Manyika anaruka juu kabisa na kudaka kwa ustadi
71': Kaseke anagongeana vizurik na Miraj Adam, anajaribu ilikuwa ni hatari lakini goal kick
73': Chukwu analazimika kulala na kuutoa nje mpira wa Mhilu, kona
SUB 73': Juma Madhadhi anaingia kuchukua nafasi ya Buswita
Mkwaju safi wa kona wa Ajibu, Manyika anaokoa na anagongwa, mwamuzi anasema ni faulo
KADI 77': kadi ya kwanza katika mchezo wa leo inatoka na inakwenda kwa KAseke ambaye ameushika mpira kwa makusudi kabisa
SUB 78': Ajibu anakwenda nje na nafasi yake inachukuliwa na Goefrey Mwashiuya
KADI 79': Kadi ya pili ya njano inatoka, nayo ni kwa Singida United, anazawadiwa Chukwu
80': Krosi matata ya Kiggi, lakini Kambale anafanya madhambi kwa kumuangusha Ninja
83': Zaidi mpira unachezwa katika ya uwanja na hakuna mashambulizi mengi makali
84': Bado hakuna mipango kwa Singida United, tofauti na Yanga. Singida wanapaswa kuwa makini au watafungwa
Mhilu tena, anaingia vizuri kabisa na kutoa pasi nzuri ya Chirwa, ndani ya miguu 12 anapiga shuti kuuuubwaaaa
KADI, 86': Kessy anapewa kadi njano kwa kumuangusha Chukwu
88': Kaseke anaingia mpira wake unaokolewa na kuwa kona
89': Yanga wanamuingiza Martin kuchukua nafasi ya Chirwa
90': Kiggi anakwenda kuchonga hiyo kona, Kambale anaruka peke yake na kupuga kichwa, goal kick
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA