Ligi Kuu Bara | Mbeya Kwanza FC Vs Simba SC | Uwanja wa Majimaji | Juni 29, 2022

Ahueni alitetema kwenye Ngao ya Jamii! Kinyume na hapo, naamini mngechonga sana ngenga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jiji limetulia, nilikua nakutafuta, kumbe uko hapa. Lol
Mayele anasema hamumpi ushirikiano huko, analia eti, uwiiiiih
 
Badala ya ya kuizunguzia timu yenu kwenye huu uzi wenu mmebaki kumshangilia Gorge Mpole nyie kweli mbumbu fc as Rage Voice
Sasa Wee unaumia nn Mpole kujadiliwa na Simba? Si na nyie mkampe ushirikiano mayele wenu, analalama hukoooo.

Ikiuma sana chomoaaa, afu kata taratibu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lawama zimeanza kuelekezwa kwa wachezaji.

Huyu Mayele msimu ujao hata goli 9 hafikii. Mpole, Manzoki, Phiri wana kazi maalumu.View attachment 2276618
Akaendelee kukata viuno vyake, na alivyo na masifa sasa, weraaaaaah, dreads akaweke yebo yebo dada Fistonia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akaendelee kukata viuno vyake, na alivyo na masifa sasa, weraaaaaah, dreads akaweke yebo yebo dada Fistonia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Et fistonia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Wee unaumia nn Mpole kujadiliwa na Simba? Si na nyie mkampe ushirikiano mayele wenu, analalama hukoooo.

Ikiuma sana chomoaaa, afu kata taratibu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah siwezi kuargue na mtu wa kariba hii ni kujivunjia heshima, endelea na mipasho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…