Ligi Kuu Bara Oktoba 16 2016: Yanga SC 0, Azam FC 0

Nisamehe mkuu mambo mengi kichwani
 
kila mtu aliona mlivyobebwa ndugu yangu.... na nitazidi kushangaa ikiwa bodi ya league ikiwaacha wamuzi wa jana hasa Israel Nkongo bila adhabu yoyote kwa mbeleko waliyoinyesha kwenu jana
Namhutumia yeyote yule anaebishana na mbumbumbu,mechi ya mbeya uliiangalia?mwaka jana stendi na mbumbumbu fc uliiangalia?hao marefa nao wafukuzwe?
 
kila mtu aliona mlivyobebwa ndugu yangu.... na nitazidi kushangaa ikiwa bodi ya league ikiwaacha wamuzi wa jana hasa Israel Nkongo bila adhabu yoyote kwa mbeleko waliyoinyesha kwenu jana
Huyu Nkongo ni jipu ambalo lishaiva siku nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…