Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Nisamehe mkuu mambo mengi kichwaniHayo Masihara sasa, yaani timu imalize msimu bila kupoteza halafu isichukue ubingwa?
Mimi ninayokumbuka ya Simba kumaliza msimu bila kupoteza ilikuwa ni msimu wa 2009/2010 na ilitangaza ubingwa huku ikiwa imebakiza mechi mbili na hizo mechi mbili haikupoteza. Jumla ilishinda mechi 18 na droo nne.
Labda kama unaweza kunikumbusha huo msimu ambao Simba alimaliza bila kupoteza na hakuchukua ubingwa ilikuwa ni msimu gani?