mkuu ngoja mkutane na mbaoMlisema hivi hivi, tulipoanza ligi.. Mlianza ngoja akutane na Mtibwa.. Tukamgonga.. Mkaja ngoja akutane na Azam.. Tukamgonga.. Mkaendelea ngoja akutane na Yanga.. Mkabebwa.. Hamkutosheka, ngoja akutane na Mbeya City.. Tukamgonga.. Sasa naona mmegawanyika.. Wengine ngoja mkutane na Toto.. Wengine na Stand United.. Na nadhani tukishawagonga hao.. Mtaamia majimaji
Haha.. Tunawasubirimkuu ngoja mkutane na mbao
yaap mkuu...ila mko vizuriHaha.. Tunawasubiri
huu uhakika mnaojipa ikitokea mkaanza kunyooshwa hasira zenu zinahamia kwenye rasilimali zetuVyovyote itakavyokua.. Simba S.C ni bingwa wa VPL msimu huu.. Hili halina mjadala kabisa.
Azzam 3-0 YangaYanga 2 Azam 0
Tambwe, Ngoma
Assist... Msuva
Sijawahi kutabiri uongo
Matatizo ya Azam ni hayaWadau hapa nakaribisha kusaidia hii team ya azam kuwapa ushauri, maoni na kutoa duku duku. Ni hali ambayo imesababisha mashabiki wake warud team zao za zaman.
Ni mengi yamekuwa yakisemwa moja wapo ni kuwa mmiliki ameona kiukwel team haina faida. Imechokwa. Anaiendesha kwa hasara. Na hili ni kutokana na ukwel azam haina mashabiki wanaofika hata 1000 ina mashabik wa kukodi. Yaani kutegemea inacheza na nani. Lakin mashabik damu haina.
Mmiliki aliwekeza pesa nying sana lakin ni wazi anapata hasara input kubwa na output ndogo sana. Inaleta hasara. Hili nalo limekuwa ni jambo lenye kuleta shida kwa mmiliki.
IMECHOKWA?
Umeshatabiri uongo kabla mechi haijaanza, Tambwe hayupo kikosini, hata benchi pia hayupoYanga 2 Azam 0
Tambwe, Ngoma
Assist... Msuva
Sijawahi kutabiri uongo