Ligi Kuu Bara Oktoba 16 2016: Yanga SC 0, Azam FC 0

Ligi Kuu Bara Oktoba 16 2016: Yanga SC 0, Azam FC 0

Ngoja tukutane tukutane! Simba tumechoka matusi ya rejareja,mwaka huu hatukutani ila tunatafuna kila anayejitokeza mbele yetu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
Dk 44, Chirwa anaruka na kuunganisha krosi ya Msuva lakini inakuwa laini kabisa kwa Aishi
Dk 41, Bocco anaachia shuti kali kabisa, lakini Dida anaokoa na kuwa kona
 
MAPUMZIKO
-KADI Mudathiri kwa kuinua mguu juu ya kichwa cha Twite

wachezaji watatu Azam wana kadi za njano, hatari sana hii .............
 
Yanga mpira hamna kabisa,Azam FC tumetakata..HT Yanga FC macho kodo Azam FC 0
 
Back
Top Bottom