Ligi Kuu Bara Oktoba 16 2016: Yanga SC 0, Azam FC 0

Naona Salome wa Stand United wanazidi kunyonga tu.
 
Keep on dreaming [emoji23]
 
Dk 92, dakika mbili za nyongeza zimekatika, mashabiki kadhaa wameanza kuondoka uwanjani.
Dk 90, mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 4 za nyongeza
 
Tatizo sio kuwa timu ni mbovu, yanga bado wako ktk ubora wao na pia azam bado wapo ktk ubora wao, tatizo ni Simba Sc imekuja na kiwango toka sayari nyingine!
Haha.. Umenifurahisha sana Mkuu.
 
Dk 94, Mchezo unaweza kumalizika muda wowote kuanzia sasa.
Dk 93, Mchezo umekuwa na kasi ya kawaida, inaonekana pande zote zimeshaona utamalizika kwa suluhu.
 
Safar hii haudundi kama 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…