Bila kumsahau kiungo wetu mwenye spidi ya konokono Clautus Chama atakuwepo Leo.Nyoni, Mzamiru na Bocco si ajabu wakaanza.
Chache sana hizoFt: simba 2-0 kmc
Watanzania wewe na nani. Usinijumlishe na mimi sawa mtani?Kila la kheri chama la watanzania wote
#Simba nguvu moja
Kosa liko wapi hapo?Basi utakuta mechi kama hizi kocha wetu msaidizi wa kudumu anahamasisha wachezaji wake kucheza kwa jihad mpaka unashangaa.
Matola leo kanipangia nilichokua nakiwaza siku nyingi kwa nafasi aliyompanga Kapama na Kanoute.Nondo za Matola kuelekea mchezo wa leo Ligi Kuu Simba SC dhidi ya KMC FCView attachment 2349006
Dada endelea kumeza limao na kumumunya udongo... Shughuli ya wanaume usivalie kijora...Kila la kheri KMC.. hao Makolo washazoea kugawa URODA.. kwahiyo nyie Leo endeleeni kuwakaza tu
Kampikie mumeo usije achwa kisha ushambenga....Kila lakheri KMC piga hao makolo waliokimbiwa na kocha