Ligi Kuu Bara: Simba 2-2 KMC FC - Uwanja wa Mkapa, Sept 07 2022

Hata kama ikitokea tukashinda ila tusijisahulaulishe na huu utumbo uliochezwa hapa na hiki kikosi cha leo
 
Simba inahangaika kupotisha mashambulizi katikati ya uwanja semeu ambayo wamekuwa wakifeli kwa muda wote
 
Na wamekipata walichokua wanakitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…